Unajua kucheza na pc?, yaani unaweza kuweka custom drivers na utundu flan hv kama wa kuflash simu? Kwa sababu kuunlock hii kwa njia bure bure itabd uinstall Firmware nyengineHaisomi inaandika unlocked
Nilinunuaga router kama hii tigoshop laini zote zilikuwa zinakubaliUkiweka line Nyengine inakuambiaje?
Hata Mimi, ninayo moja ya Tigo haina LockNilinunuaga router kama hii tigoshop laini zote zilikuwa zinakubali
Laini yako unayoweka haina code?