Msaada wa kukutana na Chaaba na Dudukwe

Msaada wa kukutana na Chaaba na Dudukwe

Hii jamii ipe miaka 10 tu ijayo itakuwa kama wengine maana tuna viongozi wasiokuwa na maono.

Mtu anawatoa porini anawapeleka hotelini kula vyakula tofuti kabisa na walivyozoea unatgemea nni?
Serikali ipo ila imelala ipo macho kupiga dili tu
Inasikitisha sana.

Nakumbuka enzi za JK kulikuwa na wazo la kuwachukua akawapeleka JKT ili kuwasaidia kwenda na kasi ya dunia na kuwa na uwakilishi ila sasa sijui tumefikia wapi hapa, ni kama tunaihijumu hii jamii kwakweli.
 
Inasikitisha sana.

Nakumbuka enzi za JK kulikuwa na wazo la kuwachukua akawapeleka JKT ili kuwasaidia kwenda na kasi ya dunia na kuwa na uwakilishi ila sasa sijui tumefikia wapi hapa, ni kama tunaihijumu hii jamii kwakweli.
Sasa kuipeleka jkt si ndio kuharibu kabisa, we dudukwe umpigishe push-up
 
Sasa kuipeleka jkt si ndio kuharibu kabisa, we dudukwe umpigishe push-up
Hahaha, sijui walichambua vipi mkakati wao ila nadhani ni pia ili wapatikane watumishi kwenye ile jamii.

So far sijaona mahali ripoti yake, siwezi zungumzia zaidi ya hapo Mkuu
 
Hii jamii ipe miaka 10 tu ijayo itakuwa kama wengine maana tuna viongozi wasiokuwa na maono.

Mtu anawatoa porini anawapeleka hotelini kula vyakula tofuti kabisa na walivyozoea unatgemea nni?
Serikali ipo ila imelala ipo macho kupiga dili tu
Acha ujinga unataka wenzio waendelee kuishi kama nyani
 
Habari za humu wana jamii nina shida ya kukutana na CHAABA na rafikiye DUDUKE naomba maelezo hasa ni vipi na wapi naweza kukutana nao hao watu?
Njoo unipitie haoa nilipo twende Meatu kwenye pori la kijiji cha Sungu!
 
GtWDrtHXcAATTKM(3).jpg
 
Nenda wilaya Karatu kata ya Mangola gorofani fuata barabara ya kwenda Endabash karibu na Mto Baray utawakuta , au kama una usafiri wako twende nikupeleke hadi kambini kwao
 
Hawa wasipolindwa watapelekewa magonjwa ya huku mijini.
Itakuwa kama Red Indies wa Amazon jungle.
Watapotea duniani au watapoteza maisha yao ya asili.
 
Hakika kwakuwa kwa sasa hao jamaa content zao zinaingiza pesa Sana Ila wao hawajui Serikali ingetumia akili kuwalinda Kama vivutio vingine na wakawa wanakuwa benefited kupitia watalii wanaokuja kuwaona
Serikali ipi?
 
Back
Top Bottom