Msaada wa kujiondoa kwenye malipo ya Google pay

Msaada wa kujiondoa kwenye malipo ya Google pay

I
Inakuletea kitu gani?
Nikishaingia hapo nakuta history ya iyo app nilivokua nalipa ila hakuna sehem ku refund wala hamna sehem yoyte ya kubonyeza zaid ku budget tu
 
Nikishaingia hapo nakuta history ya iyo app nilivokua nalipa ila hakuna sehem ku refund wala hamna sehem yoyte ya kubonyeza zaid ku budget tu
Inaleta hivi
Screenshot_20230327-164228_WhatsApp.jpg
 
Naona wanakuchanja kila leo kijana mpaka unajuta kwann ulijisajili kulipia hayo madudu 😅👍🏾

Hayo mambo special kwa watasha, sio sisi... tulia ulambe dawa 👍🏾
 
Naona wanakuchanja kila leo kijana mpaka unajuta kwann ulijisajili kulipia hayo madudu

Hayo mambo special kwa watasha, sio sisi... tulia ulambe dawa
Kawaida bana sema sivutiwi na huduma yao kwasasa ndomna nilikua nataa kujitoa
 
Wakuu habari weekend? Mimi sio mtu wa mitandaoni na sidhani kama nafahamu vitu vingi kuhusu hayo malipo yanavofanyika Google.

Kuanzia 2020 kuna App nilikua nalipia kila mwezi ili kupata kile ninachokihitaji kwao ila kwasasa App hii siihitaji tena na nilishaifuta siitumii.. nina kama miezi 10 siitumii ila cha ajabu ni kwamba kila mwezi wanakata pesa kwenye airtel money yangu bila ridhaa yangu wakati mimi siitumii hiyo App!

Msaada kwa anaefahamuwa kujiondoa ili wasiendelee kukata pesa zangu kila mwezi na kama kuna njia ya kufanya ili pesa zangu kurudishwa. Hapa muda huu wamekata pesa yaani hata sielewi kwann inakuwa hivi!!

Ni mwezi wa 7 huu kila wanakata tu na nikiwasiliana na airtel naona ubabaishaji hakuna msaada wa kueleweka.

Nimekua nikiwasiliana na airtel kuzuia pesa yangu kila wanapokata ila wao airtel wanatuma tu link et niende kuzuia mwenyewe na hawana msaada wowote lkn ukiingia huko kwenye link hakuna la maana ni ubabaishaji tu.

Kwa anae fahamu hebu anisaidie hapa
Mostly huwa wanaficha hizo details za ku-unsubscribe. Vunja hiyo credit card nenda kwa banker akupe mpya. Hiyo ndo okoka yako.
 
Sasa kuvunja kadi ndo kutafanya wazungu wasiendelee kumlambisha dawa mtandaoni?! Wao wanacheza na credential zako ulizojishobokesha kuzijaza mule ambapo ulijiandikisha ku-subscribe mwenyewe bila kuombwa na kutumwa.

Aende bank husika anayotumia awaelezee wao ndo wanajua watamsaidiaje ku-disable hizo huduma, ndugu yetu aache kulambishwa dawa 😅😅😅👍🏾

Maana watammalizia hela zake
 
Wakuu habari weekend? Mimi sio mtu wa mitandaoni na sidhani kama nafahamu vitu vingi kuhusu hayo malipo yanavofanyika Google.

Kuanzia 2020 kuna App nilikua nalipia kila mwezi ili kupata kile ninachokihitaji kwao ila kwasasa App hii siihitaji tena na nilishaifuta siitumii.. nina kama miezi 10 siitumii ila cha ajabu ni kwamba kila mwezi wanakata pesa kwenye airtel money yangu bila ridhaa yangu wakati mimi siitumii hiyo App!

Msaada kwa anaefahamuwa kujiondoa ili wasiendelee kukata pesa zangu kila mwezi na kama kuna njia ya kufanya ili pesa zangu kurudishwa. Hapa muda huu wamekata pesa yaani hata sielewi kwann inakuwa hivi!!

Ni mwezi wa 7 huu kila wanakata tu na nikiwasiliana na airtel naona ubabaishaji hakuna msaada wa kueleweka.

Nimekua nikiwasiliana na airtel kuzuia pesa yangu kila wanapokata ila wao airtel wanatuma tu link et niende kuzuia mwenyewe na hawana msaada wowote lkn ukiingia huko kwenye link hakuna la maana ni ubabaishaji tu.

Kwa anae fahamu hebu anisaidie hapa
Hakua mtandao wenye Customer care Mbovu kama Airtel, hawana msaada kabisa
 
Na waonea bure ki vp? Wanatakiwa warudishe pesa au wazuie sasa wenyewe hata kunisaidia tu namna ya kufanya ila wanaleta ubabaishaji
Isingewezekana kwa sababu za kikanuni na biashara. Wao hawahusiki hata hawajui kama unatumia bado au la kikubwa hiyo sio bipartisan Sasa maana yeye Airtel ni third party.
 
Back
Top Bottom