Msaada wa kujifunza programming

toghocho

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
1,172
198
Heshima mbele wakuu, nina passion ya kujifunza programming, lakini tatizo ni kwamba sijui nianzie wapi, in short computer najua basics zake tu ukizingatia nimesoma biashara kuanzia form 3 mpaka degree, lakini najua hiyo hainizuilii kujifunza programming na vitu vingine, naombeni msaada wenu natajkiwa nianzie wapi ili niweze kujifunza na kumaster on my own bile kuhitaji kwenda chuo chochote.
 
toghocho programming ni pana sana. ingekua poa kama ungesema unataka kufanya programming ya aina gani mfano labda ni web programming, mobile programming kwa ajili ya simu za java, android, iOS n.k au kama unataka kufanya programming ya desktop application(program za kawaida za kompyuta) nk. Nimekwambia hivyo kwa sababu kila programming language imetengenezwa kwa ajili ya kutengeneza software za aina fulani.
 
Last edited by a moderator:
toghocho programming ni pana sana. ingekua poa kama ungesema unataka kufanya programming ya aina gani mfano labda ni web programming, mobile programming kwa ajili ya simu za java, android, iOS n.k au kama unataka kufanya programming ya desktop application(program za kawaida za kompyuta) nk. Nimekwambia hivyo kwa sababu kila programming language imetengenezwa kwa ajili ya kutengeneza software za aina fulani.
nashukuru mkuu, mi nataka nijifunze as much as i cann, lakini kwa kuanzia nianze na web programming then hiyo ya program za kawaida za computer
 
nashukuru mkuu, mi nataka nijifunze as much as i cann, lakini kwa kuanzia nianze na web programming then hiyo ya program za kawaida za computer

kama unataka kujifunza vyote basi fanya vyote kwa pamoja na sio usubiri mpaka utosheke na kimoja wapo. Mimi co mtaalam wa web programming kwa hyo sina mwongozo makini hapo, wataalam wakipita hapa watatoa mawazo yao kwani kuna tools nyingi sana za web programming.
 
kama unataka kujifunza vyote basi fanya vyote kwa pamoja na sio usubiri mpaka utosheke na kimoja wapo. Mimi co mtaalam wa web programming kwa hyo sina mwongozo makini hapo, wataalam wakipita hapa watatoa mawazo yao kwani kuna tools nyingi sana za web programming.
ntashukuru kama ntaweza kufanya zote..by the way nimeanza personal notes kwa introduction to programming.
 
ntashukuru kama ntaweza kufanya zote..by the way nimeanza personal notes kwa introduction to programming.

Kufanya vyote si realistic hasa kwako wewe ambaye hukuwahi kusoma say kwenye first degree,anza na kitu simple.Programming inahitaji uwe kichwa,uwezo mkubwa ku kufikiri na kuweza kuyaona mambo kutoka angle tofauti kama a designer,system analyst,user,etc.Kuna vitabu vinavyoongelea basic za programing mambo kama pseudo code,algorithm.Hivi ni vitu vinavyokujenga kuwa programa.Unaweza ukapata vitabu vingi ila kama unaweza pata kitabu fulani pale CoET cha Dr.Ishengoma kinaweza kukupa mwanga wa programming.Kinaongelea programming with Pascal(imepitwa na muda ila for the sake of knowing the basic of programming kinafaa.)
Programming inahitaji commitment,uwe mtu wa kusoma sana na kuthink outside of the box,kuna programming ya kuinteract na hardware,database,PLC(programmable Logic Controller kama unataka kutengeza automated devices).
Kwa kifupi be specific,unataka programming kwenye field ipi,then go for it at any cost.Hesabu isiwe tatizo kwako otherwise unaweza kuishia kuandika "Hello,world".Just kiddin'.karibu ktk programming.
 
Programming ni rahisi sana, usichanganye programming na computer science utachanganyikiwa vibaya sana.

Kama unataka kufanya web programming moja ya language rahisi za kuanza hasa upande wa tools ni PHP, nakushauri ununue kitabu cha beginner kama Head First PHP (Head First PHP & MySQL: Lynn Beighley,Michael Morrison: 9780596006303: Amazon.com: Books), ukikosa hicho kitabu chochote cha beginner kitakufaa cheki (Amazon.com: php).

Kitabu kitakupa structure ya kufuata ukivamia online tutorials utakosa flow, nenda kwenye tutorials baada ya kumaliza kitabu au kama kuna sehemu umekwama.
 
Kufanya vyote si realistic hasa kwako wewe ambaye hukuwahi kusoma say kwenye first degree,anza na kitu simple.Programming inahitaji uwe kichwa,uwezo mkubwa ku kufikiri na kuweza kuyaona mambo kutoka angle tofauti kama a designer,system analyst,user,etc.Kuna vitabu vinavyoongelea basic za programing mambo kama pseudo code,algorithm.Hivi ni vitu vinavyokujenga kuwa programa.Unaweza ukapata vitabu vingi ila kama unaweza pata kitabu fulani pale CoET cha Dr.Ishengoma kinaweza kukupa mwanga wa programming.Kinaongelea programming with Pascal(imepitwa na muda ila for the sake of knowing the basic of programming kinafaa.)
Programming inahitaji commitment,uwe mtu wa kusoma sana na kuthink outside of the box,kuna programming ya kuinteract na hardware,database,PLC(programmable Logic Controller kama unataka kutengeza automated devices).
Kwa kifupi be specific,unataka programming kwenye field ipi,then go for it at any cost.Hesabu isiwe tatizo kwako otherwise unaweza kuishia kuandika "Hello,world".Just kiddin'.karibu ktk programming.

Naomba nijuvye khs prgrm languages nzuri za hizi kwenye red.
 
Ukimaliza Computer Programming ntafute nikufundishe MATHS programming itakusaidia ktk Policy, Planning ana Programming in General!
 
Naomba nijuvye khs prgrm languages nzuri za hizi kwenye red.

Mfano wa program inyointeract na hardware ni Kernel programs,namaanisha ktk Operating sysytem kuna Kernel programs na Shell programs.
Kernel inawezesha mawasiliano kati ya hardware and shell.
Kernel code inaandikwa kufanya kazi na hardware,files na vifaa vinavyounganishwa kwenye computer .
Shell ni code inayoandikwa kuinteract na hardware.Hizi ni advanced just for the sake of understanding,OS ni complex program.

user<---->shell<------>kernel<------->hardware

Kuinteract na database programming language zipo nyingi kutegemeana na database imetengenezwa kwa kutumia database language ipi.Sql,Mysql etc.Java,Vb.net,C#,php,python
 
Mfano wa program inyointeract na hardware ni Kernel programs,namaanisha ktk Operating sysytem kuna Kernel programs na Shell programs.
Kernel inawezesha mawasiliano kati ya hardware and shell.
Kernel code inaandikwa kufanya kazi na hardware,files na vifaa vinavyounganishwa kwenye computer .
Shell ni code inayoandikwa kuinteract na hardware.Hizi ni advanced just for the sake of understanding,OS ni complex program.

user<---->shell<------>kernel<------->hardware

Kuinteract na database programming language zipo nyingi kutegemeana na database imetengenezwa kwa kutumia database language ipi.Sql,Mysql etc.Java,Vb.net,C#,php,python

mkuu Aqua shell is all about GUI na haina uhusiano wa moja kwa moja na hardware. Shell ni program SPECIAL katika OS yoyote ambayo inampa user a GI ili aweze kuwasiliana na Kernel. Source: Peter Norton(1990s) Introduction to Computers
 
Last edited by a moderator:
mkuu Aqua shell is all about GUI na haina uhusiano wa moja kwa moja na hardware. Shell ni program SPECIAL katika OS yoyote ambayo inampa user a GI ili aweze kuwasiliana na Kernel. Source: Peter Norton(1990s) Introduction to Computers

Uko sahihi nakubaliana na wewe,naona hapo ni uelezeaji tu ila ,shell inainteract na hardware kupitia Kernel.Kernel ina act kama middle man kuziunganisha shell na hardwares.Nilijaribu kuweka kimchoro cha kizushi,all in all hujakosea.Nami nilijichanganya,thanks for reading between lines.I real appreciate your inputs.
 
haya mambo ya coding untill finger breeding ni hatari ila hata mie huwa napendaga sana <html"> mpaka basi
 
Heshima mbele wakuu, nina passion ya kujifunza programming, lakini tatizo ni kwamba sijui nianzie wapi, in short computer najua basics zake tu ukizingatia nimesoma biashara kuanzia form 3 mpaka degree, lakini najua hiyo hainizuilii kujifunza programming na vitu vingine, naombeni msaada wenu natajkiwa nianzie wapi ili niweze kujifunza na kumaster on my own bile kuhitaji kwenda chuo chochote.

kwanza, ongera kama una nia ya kweli.
programer yeyote anafanya kazi mbili ana design either webpage or Applicaion system.

vyote hivyo vina sehemu mbili Front End na Back End , Front End ni Programming language na Back End ni Database unayoitumia.

Tunaanza na Front End(Programming language)

programming kwanza kabisa unatakiwa uwe na msingi ya programming language kama C-programming au C++, baada ya hapo utachagua mwenyewe unataka kuwa programmer kwa kutumia Java component au dot net component au PHP. kama ni java component basi unatakiwa ujue vitu vifuatavyo java scripts , severlets au JSP. na kama unataka kuwa programmer wa kwa kutumia Dot.net componet. utatakiwa ujue C# au Asp.net au Ado.net. au Vb.net

Back End(Database)
kwa upande wa back End una weza kutumia ms access au oracle au tumia Mysql kama ulitumia front End PHP

nakutakia masomo mema na uwe programmer mzuri.


jangakuu@yahoo.com
 
Nakushauri ukitaka kufanya uchaguzi wa language kama alivyosema Jangakuu basi chagua .det usichague java, program nyingi zinazotengenezwa kwa java zina tatizo la kuwa SLOW
Pia sikushauri uchague c++ hii itakufanya uione programming ngumu. Chagua vb.net au visual c#,
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka kuwa Pro+vyeti nenda shule (>+3yrs) La basi tafuta mwalimu.
DIY is not for faint hearted dear! ;)
 
Nakushauri ukitaka kufanya uchaguzi wa language kama alivyosema Jangakuu basi chagua .det usichague java, program nyingi zinazotengenezwa kwa java zina tatizo la kuwa SLOW
Pia sikushauri uchague c++ hii itakufanya uione programming ngumu. Chagua vb.net au visual c#,
Hakuna tofauti sana linapokuja kwenye kufanya Advanced Issues. Memory management na vitu vingine vichache tu ndio vimerahisishwa ktk C#. VB ni kwa ajili ya wavivu na watoto :):makusudically put::)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom