Ni shule inayofanya vizuri kitaaluma, cha muhimu ni kimwelesha dogo ajue anachokwenda kufanys huko kwani Geita kwa sasa ins vishawishi vingi vinavyosababishwa na mazingira ya mgodi.
Shule mbaya kichz vyoo hakuna mpaka kulitokea fujo kali ambayo ilitulizwa kwa mabomu ya machoz na maji washa kwa sababu ya uongoz mbaya iliopelekea mpaka shule kufungwa kwa muda wa mwez mzima yaan wew kamwamishe kabisa pale wanatoka arts tu sana na mawani ya kutosha kwa arts na dv 4 za biashara.