Salaam
Nilinunua Iphone 6 cha mkononi, yumkini niliweka Icloud na bahati mbaya simu ikakorofisha, kuoeleka kwa fundi akaifrimat na ikaanza kuniuliza nywila ya Icloud
Nimehangaika hadi kwa aliyeniuzia lakini imeshindwa kufungua ni ninayi kama UREMBO TU
Tafadhali mwenye ushauri wa jinsi ya kuifungua ama ambaye ameoitia uzoefu huu anisaidie
shukrani sana
aisee
Pole sana ila bado haujaumalizia uzi wako. Inabidi utupe hizo mbinu wanazotumia mafundi uchwara ili tujiepushe tunapopeleka iphone zetu kwa fundinina uhakika wa 100% chief!nilipigwa 6s+ wakabdilisha brain ile kurudi home nakuta ina icloud akaunt ambayo siijui!
Narudi kwa fundi akakomaa hajabadili!
Nikasema poa,Nikamtuma mdogo wangu aende na 6 ajifanye mbovu!Ila tukiwa na sie tumeilock icloud,so abadili fasta baada akaja mwambie dogo rudi nimesahau kitu!Dogo hakurudi!!
Tunaixhek home tukakuta wameshabadili brain,kwa account yennye jina lingine!na alimuita dogo baada ya yeye kuona pia ile brain aliyotubadilishia ilo icloud locked!
Keshokutwa tukachukua Pira(Polisi) wa Msimbazi mpaka Pale nikarudishiwa vyote na nikamlaza polisi!!
So akatuambia mbinu wanazotumia kuwapiga watu wenye iphone wakienda tengeneza!!
Ni hayo tu mzee kariakoo au fundi yoyote atakayeigusa Iphone yako inabidi uwe makini 100% ikibidi usiunlock Icloud!!
Ni hayo tu
Utakamatwa si muda mrefu u akoekea utasema na mahali ulipo. Kwanini mnapenda kujiproud sifa nyingi una iphone ungechukua Techno358811050566833
Kama uliwahi weka icloud yako basi bila shaka fundi kakubadirishia circuit kakuwekea yenye icloud ya simu yako kaweka kwingine kauza ni tabia ya mafundi hiyo358811050566833
Ilikuwa Samsung s6 mpya ikajilock secondHaiwezi kutoka mpaka nwenye simu aweke password.
Kabla ya kununua simu yoyote second hand kumbuka kufanya reset/format mbele ya mwuzaji iCloud haitoki na baadhi ya simu za Android zina feature kama hiyo ambayo haitoki.
asantenina uhakika wa 100% chief!nilipigwa 6s+ wakabdilisha brain ile kurudi home nakuta ina icloud akaunt ambayo siijui!
Narudi kwa fundi akakomaa hajabadili!
Nikasema poa,Nikamtuma mdogo wangu aende na 6 ajifanye mbovu!Ila tukiwa na sie tumeilock icloud,so abadili fasta baada akaja mwambie dogo rudi nimesahau kitu!Dogo hakurudi!!
Tunaixhek home tukakuta wameshabadili brain,kwa account yennye jina lingine!na alimuita dogo baada ya yeye kuona pia ile brain aliyotubadilishia ilo icloud locked!
Keshokutwa tukachukua Pira(Polisi) wa Msimbazi mpaka Pale nikarudishiwa vyote na nikamlaza polisi!!
So akatuambia mbinu wanazotumia kuwapiga watu wenye iphone wakienda tengeneza!!
Ni hayo tu mzee kariakoo au fundi yoyote atakayeigusa Iphone yako inabidi uwe makini 100% ikibidi usiunlock Icloud!!
Ni hayo tu
Maana yake hiyo simu wewe si mmiliki, anayejua na anayeweza kujua icloud password ni aliyeiweka
Hilo litumie kwa kupigia picha tu