Habari zenu,
Naombeni msaada wa kufika BEST WESTERN CBD HOTEL, mie mda huu niko huku G/mboto, nataka nikaianzie wikend yangu hapo yani Kula, kunywa na kulala mpaka jumapili hapo hapo.
Mwenye kujuwa au kuelewa nifate daladala gani? na nisimame kituo gani?
Msaada please
Naombeni msaada wa kufika BEST WESTERN CBD HOTEL, mie mda huu niko huku G/mboto, nataka nikaianzie wikend yangu hapo yani Kula, kunywa na kulala mpaka jumapili hapo hapo.
Mwenye kujuwa au kuelewa nifate daladala gani? na nisimame kituo gani?
Msaada please