chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 215
- 397
Salaam! Ni binti amepangiwa kuripoti Kondoa girls, Na mimi nahitaji akasome Tabora girls, Kwa mwenye kujua process tafadhali nisaidieni......
Nenda ofisi za mkoani idara ya elimu mkoa aliopangiwa ukifika uandike barua wewe kama mzazi unataka umuhamishe mtoto wako kwenda tabora uweke na sababu ya kufanya hivyo,Salaam! Ni binti amepangiwa kuripoti Kondoa girls, Na mimi nahitaji akasome Tabora girls, Kwa mwenye kujua process tafadhali nisaidieni......
Hizi Huwa ni biti tu kwa wasiojua Ili ulipe ada na michango halafu ndo uhamisho ufanyike,Lazima Asome Kwanza Alikopangiwa Halafu
Ndiyo Unaeza Kumfanyia Uhamisho Vinginevyo Mpeleke Shule Binafsi
Samahani, hapa huna haja ya kwenda TAMISEMI????Nenda ofisi za mkoani idara ya elimu mkoa aliopangiwa ukifika uandike barua wewe kama mzazi unataka umuhamishe mtoto wako kwenda tabora uweke na sababu ya kufanya hivyo,
Barua yako Wala haiendi popote na wala haina maana sema tu itatumika kutoa maelezo ya wao kukuandikia barua ya uhamisho.
Watakuandikia barua ya uhamisho utaenda nayo Tabora mokani ukifika watampangia shule unayotaka(watakuanfikia barua ya kumpangia Tabora Girls) mtoto ataripoti ila uhamisho utakuwa Bado haujakamilika,
Uhamisho utakamilika badae baada ya wanafunzi kuripoti wote ndo prems namba zao zitatoka iyo namba utafanya mawasiliano na mkuu wa shule alikopangiwa awali(prems namba yake itatokea huko) airuhusu iondoke halafu aitume shule anayohania wai add hapo ndo uhamisho utakuwa umekamilika.
Tamisemi kufanya Nini? Mwalimu kuhama ndo atafika huko mwanafunzi anaishia kwa katibu tawala mkoa kama anahama mikoa tofauti.Samahani, hapa huna haja ya kwenda TAMISEMI????
Umenielewa vibaya, mimi pia nahitaji kumuhamisha mwanangu. Kwa mtazamo wangu nilijua TAMISEMI wao ndiyo waliomchagulia shule ya kusoma basi kabla ya kuripoti naona bado wana nafasi yao!!!!! Au???Tamisemi kufanya Nini? Mwalimu kuhama ndo atafika huko mwanafunzi anaishia kwa katibu tawala mkoa kama anahama mikoa tofauti.
Hayo maelekezo nlokupa ndo kinachotakiwa kufanyika.
Uhamisho huo ni wa kawaida nani aliyekuambia sio wa kawaida.Umenielewa vibaya, mimi pia nahitaji kumuhamisha mwanangu. Kwa mtazamo wangu nilijua TAMISEMI wao ndiyo waliomchagulia shule ya kusoma basi kabla ya kuripoti naona bado wana nafasi yao!!!!! Au???
Ikumbukwe hapa siyo uhamisho wa kawaida yaani tayari mtoto amesharipoti.Hapa mtoto hajaripoti.TAMISEMI AU KATIBU TAWALA (RAS) nani ameshika mpini????
Nb: Ni suala la kuelekezana na kupeana muongozo!!!!!!!!!
Nenda ofisi ya Afisa Elimu wa mkoa uliopo siyo Tamisemi. Kwa mkoa wa Dar es salaam nilisikia wanaotaka kubadilisha shule na combination waende Ofisi ya Mkoa kuonana na Afisa Elimu tarehe 26/06/2023.Samahani, hapa huna haja ya kwenda TAMISEMI????
Uhamisho huo ni wa kawaida nani aliyekuambia sio wa kawaida.
Maelekezo niliyokupa yanajitosheleza, Sasa ukienda tamisemi utaenda kufanya Nini? Hata kama wao ndo wametoa hizo post ila kwenye kuhama uhamisho unafanyika mkoani.
Asante sana mkuuNenda ofisi ya Afisa Elimu wa mkoa uliopo siyo Tamisemi. Kwa mkoa wa Dar es salaam nilisikia wanaotaka kubadilisha shule na combination waende Ofisi ya Mkoa kuonana na Afisa Elimu tarehe 26/06/2023.
Asante sanaNenda ofisi za mkoani idara ya elimu mkoa aliopangiwa ukifika uandike barua wewe kama mzazi unataka umuhamishe mtoto wako kwenda tabora uweke na sababu ya kufanya hivyo,
Barua yako Wala haiendi popote na wala haina maana sema tu itatumika kutoa maelezo ya wao kukuandikia barua ya uhamisho.
Watakuandikia barua ya uhamisho utaenda nayo Tabora mokani ukifika watampangia shule unayotaka(watakuanfikia barua ya kumpangia Tabora Girls) mtoto ataripoti ila uhamisho utakuwa Bado haujakamilika,
Uhamisho utakamilika badae baada ya wanafunzi kuripoti wote ndo prems namba zao zitatoka iyo namba utafanya mawasiliano na mkuu wa shule alikopangiwa awali(prems namba yake itatokea huko) airuhusu iondoke halafu aitume shule anayohania wai add hapo ndo uhamisho utakuwa umekamilika.
Akaripoti kwanza shule aliyopangiwa huko ndiko Kuna access na mfumo wa uhamisho siku hizi ni onlineSalaam! Ni binti amepangiwa kuripoti Kondoa girls, Na mimi nahitaji akasome Tabora girls, Kwa mwenye kujua process tafadhali nisaidieni......
Nani alikupa hayo maelekezo? Huko unakomwambia aende wala hawahamishi wanachofanya wao ni hatuna ya mwisho kurusu prems namba isepe baada ya kuwa imeshapata nafasi(mwanafunzi ameshahama).Akaripoti kwanza shule aliyopangiwa huko ndiko Kuna access na mfumo wa uhamisho siku hizi ni online
𝚂𝚒𝚢𝚘 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒 𝚑𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚣𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚒 𝚔𝚞𝚙𝚒𝚝𝚊 𝚞𝚠𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 ,𝚗𝚒 𝚗𝚐𝚞𝚖𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚗𝚊𝚠𝚎𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚒𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚑𝚒𝚢𝚘.Nenda ofisi za mkoani idara ya elimu mkoa aliopangiwa ukifika uandike barua wewe kama mzazi unataka umuhamishe mtoto wako kwenda tabora uweke na sababu ya kufanya hivyo,
Barua yako Wala haiendi popote na wala haina maana sema tu itatumika kutoa maelezo ya wao kukuandikia barua ya uhamisho.
Watakuandikia barua ya uhamisho utaenda nayo Tabora mokani ukifika watampangia shule unayotaka(watakuanfikia barua ya kumpangia Tabora Girls) mtoto ataripoti ila uhamisho utakuwa Bado haujakamilika,
Uhamisho utakamilika badae baada ya wanafunzi kuripoti wote ndo prems namba zao zitatoka iyo namba utafanya mawasiliano na mkuu wa shule alikopangiwa awali(prems namba yake itatokea huko) airuhusu iondoke halafu aitume shule anayohania wai add hapo ndo uhamisho utakuwa umekamilika.
Hawezi kupokelewa Tabora girls, hata Atoe rushwa kias gan, sio kwa mnyaki yulee, yule mama anasimamia welediii.Hapo sikufichi mkuu lazima utembeze rushwa,isitoshe mwanao kapangiwa huko Kondoa kutokana na maksi zake.