Msaada wa Kubadili Shule Kidato cha Tano

Msaada wa Kubadili Shule Kidato cha Tano

Nenda ofisi za mkoani idara ya elimu mkoa aliopangiwa ukifika uandike barua wewe kama mzazi unataka umuhamishe mtoto wako kwenda tabora uweke na sababu ya kufanya hivyo,
Barua yako Wala haiendi popote na wala haina maana sema tu itatumika kutoa maelezo ya wao kukuandikia barua ya uhamisho.

Watakuandikia barua ya uhamisho utaenda nayo Tabora mokani ukifika watampangia shule unayotaka(watakuanfikia barua ya kumpangia Tabora Girls) mtoto ataripoti ila uhamisho utakuwa Bado haujakamilika,
Uhamisho utakamilika badae baada ya wanafunzi kuripoti wote ndo prems namba zao zitatoka iyo namba utafanya mawasiliano na mkuu wa shule alikopangiwa awali(prems namba yake itatokea huko) airuhusu iondoke halafu aitume shule anayohania wai add hapo ndo uhamisho utakuwa umekamilika.
Ukumbuke Tabora girls ni shule ya watoto wenye vipaji,kwahiyo ahakikishe kuwa mtoto wake yuko vizuri...
 
𝚂𝚒𝚢𝚘 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒 𝚑𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚣𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 𝚠𝚎𝚗𝚐𝚒 𝚔𝚞𝚙𝚒𝚝𝚊 𝚞𝚠𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 ,𝚗𝚒 𝚗𝚐𝚞𝚖𝚞 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚗𝚊𝚠𝚎𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚜𝚒𝚠𝚎 𝚗𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚔𝚊𝚝𝚒𝚔𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚑𝚒𝚢𝚘.
𝙽𝚓𝚒𝚊 𝚗𝚢𝚎𝚙𝚎𝚜𝚒 𝚗𝚒 𝚔𝚞𝚘𝚗𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚢𝚊 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚒𝚕𝚒 𝚔𝚞𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚑𝚊𝚙𝚘 𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚒𝚝𝚊𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒
Hakuna shule ambayo imewahi kujaa, halafu mkuu wa shule ni fala tu kwenye ishu ya uhamisho.
 
Hakuna shule ambayo imewahi kujaa, halafu mkuu wa shule ni fala tu kwenye ishu ya uhamisho.
𝙽𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚗𝚒𝚜𝚒𝚔𝚞𝚋𝚒𝚜𝚑𝚒𝚎 𝚖𝚔𝚞𝚞,𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚒𝚗𝚊𝚞𝚠𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 120 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 285 𝚓𝚎 𝚞𝚗𝚊𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚞𝚝𝚊𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚞𝚔𝚒𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚔𝚞𝚑𝚊𝚖𝚒𝚊?𝙺𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚊𝚛𝚒𝚏𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚔𝚞𝚙𝚒𝚝𝚒𝚊 𝙿𝚁𝙴𝙼𝚂 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚜𝚒 𝚏𝚊𝚕𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚞𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘𝚖𝚞𝚒𝚝𝚊.𝙷𝚞𝚢𝚞 𝚖𝚣𝚊𝚣𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚋𝚊𝚜𝚒 𝚁𝙰𝚂 𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚒𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚖𝚙𝚊𝚛𝚒𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒
 
Salaam! Ni binti amepangiwa kuripoti Kondoa girls, Na mimi nahitaji akasome Tabora girls, Kwa mwenye kujua process tafadhali nisaidieni......

naona wadau wengi wanatoa njia za kuhama shule. Ila kwa nijuavyo, ni vigumu kuhama kutoka shule ya kawaida kwenda special school kama tabora girls.
 
𝙽𝚊𝚘𝚗𝚊 𝚗𝚒𝚜𝚒𝚔𝚞𝚋𝚒𝚜𝚑𝚒𝚎 𝚖𝚔𝚞𝚞,𝚔𝚞𝚗𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚒𝚗𝚊𝚞𝚠𝚎𝚣𝚘 𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 120 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝚒𝚖𝚎𝚙𝚊𝚗𝚐𝚒𝚠𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 285 𝚓𝚎 𝚞𝚗𝚊𝚍𝚑𝚊𝚗𝚒 𝚞𝚝𝚊𝚙𝚊𝚝𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚞𝚔𝚒𝚝𝚊𝚔𝚊 𝚔𝚞𝚑𝚊𝚖𝚒𝚊?𝙺𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚊𝚛𝚒𝚏𝚊 𝚢𝚊𝚔𝚘 𝚔𝚞𝚙𝚒𝚝𝚒𝚊 𝙿𝚁𝙴𝙼𝚂 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚜𝚒 𝚏𝚊𝚕𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚞𝚕𝚒𝚟𝚢𝚘𝚖𝚞𝚒𝚝𝚊.𝙷𝚞𝚢𝚞 𝚖𝚣𝚊𝚣𝚒 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚊𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚖𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚋𝚊𝚜𝚒 𝚁𝙰𝚂 𝚠𝚊 𝚝𝚊𝚋𝚘𝚛𝚊 𝚒𝚗𝚐𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒 𝚛𝚊𝚑𝚒𝚜𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚖𝚙𝚊𝚛𝚒𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒
Wanao monita hizo prems sio mkuu washule pekeyake, halafu Sasa mkuu wa shule ndo mtu wa mwisho yeye Huwa anapewa maelekezo tu.
 
Wanao monita hizo prems sio mkuu washule pekeyake, halafu Sasa mkuu wa shule ndo mtu wa mwisho yeye Huwa anapewa maelekezo tu.
𝚂𝚒𝚢𝚘 𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚔𝚊𝚋𝚕𝚊 𝚢𝚊 𝚞𝚑𝚊𝚖𝚘𝚜𝚑𝚘 𝚕𝚊𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚊𝚔𝚞𝚋𝚊𝚛𝚒 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚒𝚙𝚘 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚎𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚔𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚘𝚝𝚘𝚔𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 𝚊𝚗𝚊𝚖𝚑𝚊𝚖𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊 𝚋𝚊𝚊𝚍𝚊𝚎 𝚟𝚒𝚘𝚗𝚐𝚘𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚎𝚕𝚒𝚖𝚞 𝚗𝚐𝚊𝚣𝚒 𝚢𝚊 𝚑𝚊𝚕𝚖𝚊𝚜𝚑𝚊𝚞𝚛𝚒 𝚠𝚊𝚘 𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚢𝚊𝚘 𝚗𝚒 𝚔𝚒𝚍𝚑𝚒𝚋𝚒𝚝𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚞𝚑𝚊𝚖𝚒𝚜𝚑𝚘.
 
𝚂𝚒𝚢𝚘 𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚔𝚊𝚋𝚕𝚊 𝚢𝚊 𝚞𝚑𝚊𝚖𝚘𝚜𝚑𝚘 𝚕𝚊𝚣𝚒𝚖𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚊𝚔𝚞𝚋𝚊𝚛𝚒 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚒𝚙𝚘 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚎𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚊𝚏𝚊𝚜𝚒 𝚔𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚖𝚔𝚞𝚞 𝚠𝚊 𝚜𝚑𝚞𝚕𝚎 𝚊𝚗𝚊𝚔𝚘𝚝𝚘𝚔𝚊 𝚖𝚠𝚊𝚗𝚊𝚏𝚞𝚗𝚣𝚒 𝚊𝚗𝚊𝚖𝚑𝚊𝚖𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚗𝚊 𝚋𝚊𝚊𝚍𝚊𝚎 𝚟𝚒𝚘𝚗𝚐𝚘𝚣𝚒 𝚠𝚊 𝚎𝚕𝚒𝚖𝚞 𝚗𝚐𝚊𝚣𝚒 𝚢𝚊 𝚑𝚊𝚕𝚖𝚊𝚜𝚑𝚊𝚞𝚛𝚒 𝚠𝚊𝚘 𝚔𝚊𝚣𝚒 𝚢𝚊𝚘 𝚗𝚒 𝚔𝚒𝚍𝚑𝚒𝚋𝚒𝚝𝚒𝚜𝚑𝚊 𝚞𝚑𝚊𝚖𝚒𝚜𝚑𝚘.
Hakuna shule iliyowahi kujaa, ukiambiwa hamna nafasi ujue mwanafunzi matokeo yake sio mazuri. Ukienda kuomba nafasi shule yoyote mkuu wa shule atakuambia leta matoke yake nione utampa result slip akiona matokeo ya hovyo unaambiwa hakuna nafasi zimejaa ila akiona Kuna one Kali imejaa vibanda utaambiwa nafasi ipo shule hiyohiyo.

Hivyo bas hakuna shule iliyowahi kujaa, na mkuu wa shule Huwa hachagui wanafunzi yeye ni kuletewa tu na mwanafunzi akiwa na barua amepangiwa shule x mkuu wa hiyo shule hawezi kukataa huo uhamisho yeye ni kupokea tu.
 
Salaam! Ni binti amepangiwa kuripoti Kondoa girls, Na mimi nahitaji akasome Tabora girls, Kwa mwenye kujua process tafadhali nisaidieni......
Tabora girls ni special school hivyo kama ufaulu wake haukuwa Division one yenye AAA au AAB kwenye combination yake hawezi kuchukuliwa
 
Siku moja nilikua naongea na headmistress wa Tabora girls akaniambia ili mtoto ahamie pale anatakiwa awe angalau na AAB kwenye kombi.
 
Tabora girls ni special school hivyo kama ufaulu wake haukuwa Division one yenye AAA au AAB kwenye combination yake hawezi kuchukuliwa
Upo sahihi mkuu,hiki ndicho niliambiwa na bidada mkuu mwenyewe
 
Kilakala naipenda na wanafaulu kuliko hata Tabora girls,ukimtembelea unapitia madizini pale kula nyama haramu na ndizi
 
Back
Top Bottom