Msaada wa kuapply degree kwa kutumia diploma

Msaada wa kuapply degree kwa kutumia diploma

GeONJC

Member
Joined
May 1, 2014
Posts
73
Reaction score
27
Naomba msaada niendelee vipi? Nimeshafanya registration NACTE sasa katika kuendelea na step ya pili kuna sehemu inaitaji ujaze taarifa za o level na ukimaliza inakuja option ya kujaza information za vyuo vya veta na uapload certificates za veta.. hapo kwenye information za veta ndo nakwama sababu sijasoma veta na hakuna optional ya kuskip ili kuendeleea na hatua zingine..

Naomba msaada wenu coz najaribu kuwapigia TCU na NACTE lakini simu zao hazipokelewi na pia nimewatumia e-mail lakini hawajajibu?
 
ungesema una apply course gani inayokuhitaji uwe na cheti cha Veta
 
Mimi lengo langu ni kuomba bachelor of business administration na sijasoma veta bali nimesoma diploma ya business administration, sasa baada ya kumaliza kujaza informations za olevel nilivyobonyeza next ndo ikaja option ya kujaza information za veta na hakuna the way naweza kuskip bali inanitaka nijaze informations za veta ndo niendelee na step nyingine
 
Mimi lengo langu ni kuomba bachelor of business administration na sijasoma veta bali nimesoma diploma ya business administration, sasa baada ya kumaliza kujaza informations za olevel nilivyobonyeza next ndo ikaja option ya kujaza information za veta na hakuna the way naweza kuskip bali inanitaka nijaze informations za veta ndo niendelee na step nyingine

Hiyo system nimeitumia kuomba chuo, sehemu ya kukataa kama hukusoma Veta ipo. Penye swali la "Do you have VETA Certificate..?" Kuna Drop down menu ya YES & NO. Kama ulichagua YES basi unavyo na kama huna jibu linaeleweka
 
Samahan wakuu..!! Nmemalza chuo mwaka huu chuo cha DIT. Kwenye kpengele cha kujaza mwaka wa kuhitimu hamna mwaka 2016 na kwenye ku-upload bado cna chet cha diploma.. Msaada wenu tafadhal
 
Samahan wakuu..!! Nmemalza chuo mwaka huu chuo cha DIT. Kwenye kpengele cha kujaza mwaka wa kuhitimu hamna mwaka 2016 na kwenye ku-upload bado cna chet cha diploma.. Msaada wenu tafadhal

Km huna hata transcript itakuwa ngumu kuapply
 
Km huna hata transcript itakuwa ngumu kuapply[/QUOTE]
Sawa mkuu
 
Samahan wakuu..!! Nmemalza chuo mwaka huu chuo cha DIT. Kwenye kpengele cha kujaza mwaka wa kuhitimu hamna mwaka 2016 na kwenye ku-upload bado cna chet cha diploma.. Msaada wenu tafadhal
Hata mm nimemaliza mwaka huu ila nacte wanahesabu mwaka ulionza dip 2 ambayo ni 2015/2016 so sehem ya mwaka weka 2015 uendelee
 
Km huna hata transcript itakuwa ngumu kuapply
Sawa mkuu[/QUOTE]


hivi pre entry ndo pia imefutwa kwa walio chini ya 3.5 GPA au kuna njia mmbadala mi nlimaliza 2014 gpa 2.9 msaada naweza kuendelea maana lengonilikua mwaka ujao
 
Samahan wakuu..!! Nmemalza chuo mwaka huu chuo cha DIT. Kwenye kpengele cha kujaza mwaka wa kuhitimu hamna mwaka 2016 na kwenye ku-upload bado cna chet cha diploma.. Msaada wenu tafadhal
umemaliza dit kozi gani na uaaomba kozi gani,,,??
 
je vyuo mlivyomaliza vimeupload matokeo yenu????fanyeni kufatilia
 
Hata mm nimemaliza mwaka huu ila nacte wanahesabu mwaka ulionza dip 2 ambayo ni 2015/2016 so sehem ya mwaka weka 2015 uendelee
Mkuu mbona hii mpya ndo nimeisikia kwako maan kila mtu ukimuuliza anasema unaenda kwa chini kuna option inasema kama hakuna mwaka wako hapo juu click hapa na hapo ndo unaendelea kujaza info za chuo na lazima u upload transcript. Sasa hii ya kujaza umemaliza 2015 wakati umemaliza 2016 ikoje wakati kuna watu ambao wataomba na wao walimaliza nwaka jana ambao ni 2015 wao wajaze 2014. Na kama Tcu umesema wao wanajua 2015/2016 ni 2015 kwanini kwenye guide book wameeleza watu ambao wanatakiwa ku apply ni wale walio kati ya 1988-2016 na kwanini.isiwe 1988-2015.
 
Mkuu mbona hii mpya ndo nimeisikia kwako maan kila mtu ukimuuliza anasema unaenda kwa chini kuna option inasema kama hakuna mwaka wako hapo juu click hapa na hapo ndo unaendelea kujaza info za chuo na lazima u upload transcript. Sasa hii ya kujaza umemaliza 2015 wakati umemaliza 2016 ikoje wakati kuna watu ambao wataomba na wao walimaliza nwaka jana ambao ni 2015 wao wajaze 2014. Na kama Tcu umesema wao wanajua 2015/2016 ni 2015 kwanini kwenye guide book wameeleza watu ambao wanatakiwa ku apply ni wale walio kati ya 1988-2016 na kwanini.isiwe 1988-2015.
huyo jamaa kawapotosha wenzake,embu fanya kuwasaidia mkuu
 
Back
Top Bottom