Msaada wa Ku unlock Vodafone smart bomba 301

Msaada wa Ku unlock Vodafone smart bomba 301

Kama una pc fanya yafuatayo .
Maandalizi
*usb cable
*cracks ya nck mtk android full no hwid
*drivers (All mtk usb drivers versions: 1:0:1
*android cdc drivers .
NOTE:HAKIKISHA UNAUJUZI WA KUFANYA INSTALLATION YA DRIVER'S ...

Kama una utaalam fanya installation baada ya hapo ndo utafute crack ya nck ukiipata fungua hiyo crack mara ya kwanza itafunguka kwa kuandika (GSM OK) PIGA KWENYE OKY BAADA YA HAPO ITALETA BOX LA NCK MTK ANDROID NO HWID AMBAYO NI CRACK UKIANGALIA KWA NDANI KUNA MAANDISHI YANATEMBEA SASA BOFYA HAPO KWA MARA MBILI ,THEN ITAFUNGUNGA MPK ITALETA MAIN "unlocking" service n.k shida yako kuunlock haya sasa kuunlock simu yako kwa kubofya unlocking then chagua cpu ya simu yako ambayo vf 301 ni 6580 baada ya kuchakua zima simu yako ,toa laini zote ,hakikisha unaizima baada ya hapo kuna sehemu imeandikwa direct unlock haya CLICK hapo !! Ukimaliza italeta maelezo mwisho kabisa italeta maneno yafuatayo PLEASE INSERT USB CABLE !! haya sasa chomeka simu yako chap kwenye computer simu itajiunlock within 5 minutes na kuwaka ,baada ya hapo test laini yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
dah,mkuu kama utanisaidia na hili langu,nina simu aina samsung windows phone,model SGH-i917 inawaka lakini inaishia kwenye logo tu "SAMSUNG",nipo dar...
 
Kama una pc fanya yafuatayo .
Maandalizi
*usb cable
*cracks ya nck mtk android full no hwid
*drivers (All mtk usb drivers versions: 1:0:1
*android cdc drivers .
NOTE:HAKIKISHA UNAUJUZI WA KUFANYA INSTALLATION YA DRIVER'S ...

Kama una utaalam fanya installation baada ya hapo ndo utafute crack ya nck ukiipata fungua hiyo crack mara ya kwanza itafunguka kwa kuandika (GSM OK) PIGA KWENYE OKY BAADA YA HAPO ITALETA BOX LA NCK MTK ANDROID NO HWID AMBAYO NI CRACK UKIANGALIA KWA NDANI KUNA MAANDISHI YANATEMBEA SASA BOFYA HAPO KWA MARA MBILI ,THEN ITAFUNGUNGA MPK ITALETA MAIN "unlocking" service n.k shida yako kuunlock haya sasa kuunlock simu yako kwa kubofya unlocking then chagua cpu ya simu yako ambayo vf 301 ni 6580 baada ya kuchakua zima simu yako ,toa laini zote ,hakikisha unaizima baada ya hapo kuna sehemu imeandikwa direct unlock haya CLICK hapo !! Ukimaliza italeta maelezo mwisho kabisa italeta maneno yafuatayo PLEASE INSERT USB CABLE !! haya sasa chomeka simu yako chap kwenye computer simu itajiunlock within 5 minutes na kuwaka ,baada ya hapo test laini yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah...
Wewe jamaa ni mtu poa sana aisee..!
Ubarikiwe sana..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom