Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,695
- 1,771
Habari wakuu..
Naomba msaada kwa anayejua namna ya Ku unlock Vodafone 301 ili iweze kutumia line zote.
Hii simu ni ya line mbili lakini cha ajabu sehemu zote za line zinataka line ya voda tu.
Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada kwa anayejua namna ya Ku unlock Vodafone 301 ili iweze kutumia line zote.
Hii simu ni ya line mbili lakini cha ajabu sehemu zote za line zinataka line ya voda tu.
Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app