Msaada wa Ku unlock Vodafone smart bomba 301

Msaada wa Ku unlock Vodafone smart bomba 301

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,686
Reaction score
1,758
Habari wakuu..

Naomba msaada kwa anayejua namna ya Ku unlock Vodafone 301 ili iweze kutumia line zote.

Hii simu ni ya line mbili lakini cha ajabu sehemu zote za line zinataka line ya voda tu.

Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una pc fanya yafuatayo .
Maandalizi
*usb cable
*cracks ya nck mtk android full no hwid
*drivers (All mtk usb drivers versions: 1:0:1
*android cdc drivers .
NOTE:HAKIKISHA UNAUJUZI WA KUFANYA INSTALLATION YA DRIVER'S ...

Kama una utaalam fanya installation baada ya hapo ndo utafute crack ya nck ukiipata fungua hiyo crack mara ya kwanza itafunguka kwa kuandika (GSM OK) PIGA KWENYE OKY BAADA YA HAPO ITALETA BOX LA NCK MTK ANDROID NO HWID AMBAYO NI CRACK UKIANGALIA KWA NDANI KUNA MAANDISHI YANATEMBEA SASA BOFYA HAPO KWA MARA MBILI ,THEN ITAFUNGUNGA MPK ITALETA MAIN "unlocking" service n.k shida yako kuunlock haya sasa kuunlock simu yako kwa kubofya unlocking then chagua cpu ya simu yako ambayo vf 301 ni 6580 baada ya kuchakua zima simu yako ,toa laini zote ,hakikisha unaizima baada ya hapo kuna sehemu imeandikwa direct unlock haya CLICK hapo !! Ukimaliza italeta maelezo mwisho kabisa italeta maneno yafuatayo PLEASE INSERT USB CABLE !! haya sasa chomeka simu yako chap kwenye computer simu itajiunlock within 5 minutes na kuwaka ,baada ya hapo test laini yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una pc fanya yafuatayo .
Maandalizi
*usb cable
*cracks ya nck mtk android full no hwid
*drivers (All mtk usb drivers versions: 1:0:1
*android cdc drivers .
NOTE:HAKIKISHA UNAUJUZI WA KUFANYA INSTALLATION YA DRIVER'S ...

Kama una utaalam fanya installation baada ya hapo ndo utafute crack ya nck ukiipata fungua hiyo crack mara ya kwanza itafunguka kwa kuandika (GSM OK) PIGA KWENYE OKY BAADA YA HAPO ITALETA BOX LA NCK MTK ANDROID NO HWID AMBAYO NI CRACK UKIANGALIA KWA NDANI KUNA MAANDISHI YANATEMBEA SASA BOFYA HAPO KWA MARA MBILI ,THEN ITAFUNGUNGA MPK ITALETA MAIN "unlocking" service n.k shida yako kuunlock haya sasa kuunlock simu yako kwa kubofya unlocking then chagua cpu ya simu yako ambayo vf 301 ni 6580 baada ya kuchakua zima simu yako ,toa laini zote ,hakikisha unaizima baada ya hapo kuna sehemu imeandikwa direct unlock haya CLICK hapo !! Ukimaliza italeta maelezo mwisho kabisa italeta maneno yafuatayo PLEASE INSERT USB CABLE !! haya sasa chomeka simu yako chap kwenye computer simu itajiunlock within 5 minutes na kuwaka ,baada ya hapo test laini yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana.. Deal done

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu..

Naomba msaada kwa anayejua namna ya Ku unlock Vodafone 301 ili iweze kutumia line zote.

Hii simu ni ya line mbili lakini cha ajabu sehemu zote za line zinataka line ya voda tu.

Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app

chifu naomba unisaidie ku read file la vodafone 301 sm yangu ime kufa nahitaj msaada ili niifufue nisha tagita model kam hio karibu nikakosa
 
Kama una pc fanya yafuatayo .
Maandalizi
*usb cable
*cracks ya nck mtk android full no hwid
*drivers (All mtk usb drivers versions: 1:0:1
*android cdc drivers .
NOTE:HAKIKISHA UNAUJUZI WA KUFANYA INSTALLATION YA DRIVER'S ...

Kama una utaalam fanya installation baada ya hapo ndo utafute crack ya nck ukiipata fungua hiyo crack mara ya kwanza itafunguka kwa kuandika (GSM OK) PIGA KWENYE OKY BAADA YA HAPO ITALETA BOX LA NCK MTK ANDROID NO HWID AMBAYO NI CRACK UKIANGALIA KWA NDANI KUNA MAANDISHI YANATEMBEA SASA BOFYA HAPO KWA MARA MBILI ,THEN ITAFUNGUNGA MPK ITALETA MAIN "unlocking" service n.k shida yako kuunlock haya sasa kuunlock simu yako kwa kubofya unlocking then chagua cpu ya simu yako ambayo vf 301 ni 6580 baada ya kuchakua zima simu yako ,toa laini zote ,hakikisha unaizima baada ya hapo kuna sehemu imeandikwa direct unlock haya CLICK hapo !! Ukimaliza italeta maelezo mwisho kabisa italeta maneno yafuatayo PLEASE INSERT USB CABLE !! haya sasa chomeka simu yako chap kwenye computer simu itajiunlock within 5 minutes na kuwaka ,baada ya hapo test laini yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu ngoja nijaribu
 
KARIAKOO SOFTWARE
TUNADEAL NA KUUNLOCK,KUFLASH SIMU ZA AINA ZOTE TUNAPATIKANA
KARIAKOO UHURU NA MSIMBAZ
KARIBUNI SANA
KWA MAWASILIANO 0653868632
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom