Msaada wa ku login, kama nimesahau passwaord ya PC

Bakulutu

JF-Expert Member
Nov 30, 2011
2,544
1,760
Habar JF,
Nilikuwa naomba kw yeyote mwenye uwezo huu wa kuweza kulogin kwnye pc kama mtu amesahau password au kama pc haikutumika kw muda mrefu na mwenyewe kusahau password.
 
kama ni win7, solution rahisi kuaccess data zako hapo ni kutumia live disc ya linux 2
 
1.Washa kompyuta yako
2. Kabla kompyuta haijaonyesha screen ya login page (user name &passowrd) bonyeza CRTL + F8 kwa pamoja mara nyingi
3.Itatokea screen inakupa options za kustart kompyuta yako, Chagua Start windows in Safe Mode. then bonyeza Enter na subiri komputa ina load files. Fahamu pia kuwa wakati wa kuwasha kompyuta kwenye Safe Mode , graphics display za komputa yako zitabadilika kidogo kwa wakati huo na hilo sio tatizo
4. Baada ya kuload files ile screen ya Administrator na password itatokea. Bonyeza enter bila kuweka password yoyote
kama komputa itaonyesha account ya user mwingine achana nayo wewe bonyeza tu ile ya Administrator halafu login kama Administrator
5. Utaulizwa bado unapenda kuendelea kutumia Safe Mode, Bonyeza Yes
6. Bonyeza Start > Run, dialogue box itatokea inayosema Run , kwenye hiyo box andika cmd halafu bonyeza enter
hii ni command itakayokusaidia ku-change files kama administartor inaitwa command prompt
7. command prompt itafungua window nyeusi, kwenye hiyo window andika net user username * (ambapo username ni jina lako unalotaka kutumia kwenye hiyo kompyuta) mfano net user juma * (usisahau kuweka nyota * na space ni muhimu (Angalia angalizo chini kwa watumiaji wa window 7)
8. Kompyuta itakuambia uweke password, sasa weka password yako mpya. Funga program zote na zima na kuwasha kompyuta (restart)
9. Kompyuta itawaka na unaweza ku login kwa kutumia password yako mpya na username yako
10 Log in tena kawaida (bila kubonyeza Ctrl F8)

MUHIMU: Kuhusu namba 6 hapo juu: kama unatumia window 7 ni lazima ufungue command prompt (cmd) kama Administrator la sivyo huwezi kufanya mabadiliko Kufungua cmd kama admin Fungua My Computer > C >Windows >System32 > cmd, right click cmd halafu chagua "run as administrator" hapo ndipo utaweza kuingiza command ya net user username *
 
Tatizo km hili mm nishawahi kulipata.
Mafundi ukiwauliza, "unaweza kunitolea/kunibadilishia password" basi hujibu "kwa elfu 25"

NA KWELI NIKATOA!!!
KUMBE BORA KUZALIWA SIKU YA DIT (Do it yourself).

AHSANTE SANA MKUU KWA KUTUFUMBUA MACHO.
 
1.Washa kompyuta yako
2. Kabla kompyuta haijaonyesha screen ya login page (user name &passowrd) bonyeza CRTL + F8 kwa pamoja mara nyingi
3.Itatokea screen inakupa options za kustart kompyuta yako, Chagua Start windows in Safe Mode. then bonyeza Enter na subiri komputa ina load files. Fahamu pia kuwa wakati wa kuwasha kompyuta kwenye Safe Mode , graphics display za komputa yako zitabadilika kidogo kwa wakati huo na hilo sio tatizo
4. Baada ya kuload files ile screen ya Administrator na password itatokea. Bonyeza enter bila kuweka password yoyote
kama komputa itaonyesha account ya user mwingine achana nayo wewe bonyeza tu ile ya Administrator halafu login kama Administrator
5. Utaulizwa bado unapenda kuendelea kutumia Safe Mode, Bonyeza Yes
6. Bonyeza Start > Run, dialogue box itatokea inayosema Run , kwenye hiyo box andika cmd halafu bonyeza enter
hii ni command itakayokusaidia ku-change files kama administartor inaitwa command prompt
7. command prompt itafungua window nyeusi, kwenye hiyo window andika net user username * (ambapo username ni jina lako unalotaka kutumia kwenye hiyo kompyuta) mfano net user juma * (usisahau kuweka nyota * na space ni muhimu (Angalia angalizo chini kwa watumiaji wa window 7)
8. Kompyuta itakuambia uweke password, sasa weka password yako mpya. Funga program zote na zima na kuwasha kompyuta (restart)
9. Kompyuta itawaka na unaweza ku login kwa kutumia password yako mpya na username yako
10 Log in tena kawaida (bila kubonyeza Ctrl F8)

MUHIMU: Kuhusu namba 6 hapo juu: kama unatumia window 7 ni lazima ufungue command prompt (cmd) kama Administrator la sivyo huwezi kufanya mabadiliko Kufungua cmd kama admin Fungua My Computer > C >Windows >System32 > cmd, right click cmd halafu chagua "run as administrator" hapo ndipo utaweza kuingiza command ya net user username *

Je kwa wanao2mia window 8 inakuaje?
 
1.Washa kompyuta yako
2. Kabla kompyuta haijaonyesha screen ya login page (user name &passowrd) bonyeza CRTL + F8 kwa pamoja mara nyingi
3.Itatokea screen inakupa options za kustart kompyuta yako, Chagua Start windows in Safe Mode. then bonyeza Enter na subiri komputa ina load files. Fahamu pia kuwa wakati wa kuwasha kompyuta kwenye Safe Mode , graphics display za komputa yako zitabadilika kidogo kwa wakati huo na hilo sio tatizo
4. Baada ya kuload files ile screen ya Administrator na password itatokea. Bonyeza enter bila kuweka password yoyote
kama komputa itaonyesha account ya user mwingine achana nayo wewe bonyeza tu ile ya Administrator halafu login kama Administrator
5. Utaulizwa bado unapenda kuendelea kutumia Safe Mode, Bonyeza Yes
6. Bonyeza Start > Run, dialogue box itatokea inayosema Run , kwenye hiyo box andika cmd halafu bonyeza enter
hii ni command itakayokusaidia ku-change files kama administartor inaitwa command prompt
7. command prompt itafungua window nyeusi, kwenye hiyo window andika net user username * (ambapo username ni jina lako unalotaka kutumia kwenye hiyo kompyuta) mfano net user juma * (usisahau kuweka nyota * na space ni muhimu (Angalia angalizo chini kwa watumiaji wa window 7)
8. Kompyuta itakuambia uweke password, sasa weka password yako mpya. Funga program zote na zima na kuwasha kompyuta (restart)
9. Kompyuta itawaka na unaweza ku login kwa kutumia password yako mpya na username yako
10 Log in tena kawaida (bila kubonyeza Ctrl F8)

MUHIMU: Kuhusu namba 6 hapo juu: kama unatumia window 7 ni lazima ufungue command prompt (cmd) kama Administrator la sivyo huwezi kufanya mabadiliko Kufungua cmd kama admin Fungua My Computer > C >Windows >System32 > cmd, right click cmd halafu chagua "run as administrator" hapo ndipo utaweza kuingiza command ya net user username *

Duh
Kuna watu watata aisee!
 
Tatizo km hili mm nishawahi kulipata.
Mafundi ukiwauliza, "unaweza kunitolea/kunibadilishia password" basi hujibu "kwa elfu 25"

NA KWELI NIKATOA!!!
KUMBE BORA KUZALIWA SIKU YA DIT (Do it yourself).

AHSANTE SANA MKUU KWA KUTUFUMBUA MACHO.




duhh!! Lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom