Bangsweezy
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 873
- 193
Naweza ku copy kitu facebook, au facebook app ambayo nitaweza ku copy post za maandishi kutoka fb
Hahhaha!Copy ni lazima upeleke kwenye mashine yake mkuu
Mbona very simple mkuu au sijakuelewa?Naweza ku copy kitu facebook, au facebook app ambayo nitaweza ku copy post za maandishi kutoka fb
Mkuu fb app gani uliyokua unaitumia unaweza ku copyNI RAHISI TU KUCOPY MESEJI ZA MAANDISHI ILA NAKUMBUKA KUNA APP YA FB NILIKUA NAYO ILIKUA HAIKUBALI HIVYO NILII UNSTAL NA KU INSTAL UPYA NYINGINE NDIPO IKAKUBALI KUCOPY.
Kwangu inagoma fb ya kwaida ile fb lite zote zinagomaMbona very simple mkuu au sijakuelewa?
gusa tu kwa muda maandishi ya post theb utaona panarokeza neno copy basi wewe liguse hilo neno utakuwa umeshacopy.
Kutumia app Ni kujifunga, wanataka makusudi utumie app ili wawe na rules zao.Naweza ku copy kitu facebook, au facebook app ambayo nitaweza ku copy post za maandishi kutoka fb
HAHAHAHAHACopy ni lazima upeleke kwenye mashine yake mkuu