Mchelle
Member
- Mar 20, 2010
- 95
- 28
Nawasalimu wana jamvi,
naomba yeyote anayejua kuhusu sheria zetu hapa nchini
mimi nilikuwa nafanya biahara na jamaa fulni hlafu tukaja kukosana kabisa. Tukakubaliana kulipana ili mimi nimlipe yeye aniachie aondoke. Baada ya kumlipa zaidi ya 60% tulikubaliana nimalizie balance kwa muda wa miezi mitatu. Yule jamaa kwa wivu mbaya akaenda kuingilia biashara yangu kwa mambo mengi sana kuiharibu. Baada ya hapo ilibidi nishindwe nikaacha ile biashara kabisa. Yule jamaa kwa kuwa nilimwahidi kumlipa akaenda police kunishtaki kwa kosa la jinai. Police wakaja kuniona wakinitaka niende kituoni nikajibu shtaka.
Nawaombeeni msaada kisharia hapo!
naomba yeyote anayejua kuhusu sheria zetu hapa nchini
mimi nilikuwa nafanya biahara na jamaa fulni hlafu tukaja kukosana kabisa. Tukakubaliana kulipana ili mimi nimlipe yeye aniachie aondoke. Baada ya kumlipa zaidi ya 60% tulikubaliana nimalizie balance kwa muda wa miezi mitatu. Yule jamaa kwa wivu mbaya akaenda kuingilia biashara yangu kwa mambo mengi sana kuiharibu. Baada ya hapo ilibidi nishindwe nikaacha ile biashara kabisa. Yule jamaa kwa kuwa nilimwahidi kumlipa akaenda police kunishtaki kwa kosa la jinai. Police wakaja kuniona wakinitaka niende kituoni nikajibu shtaka.
Nawaombeeni msaada kisharia hapo!