Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Mtuhumiwa wangu hakuwasili mahakamani bila kutoa taarifa ya kuto kuja mahakamani, siku ya kusikilizwa kesi na kuja na mashahidi.
Tarehe Y nimeambiwa nirudi mahakaman, kwa kutolewa order ya kutafutwa yeye na mdhamini wake.
So what will be the last decisions from the court after them kukamatwa.??
Tarehe Y nimeambiwa nirudi mahakaman, kwa kutolewa order ya kutafutwa yeye na mdhamini wake.
So what will be the last decisions from the court after them kukamatwa.??