Msaada wa kisheria

Entreprenuare

JF-Expert Member
Aug 24, 2019
1,616
1,714
Mtuhumiwa wangu hakuwasili mahakamani bila kutoa taarifa ya kuto kuja mahakamani, siku ya kusikilizwa kesi na kuja na mashahidi.


Tarehe Y nimeambiwa nirudi mahakaman, kwa kutolewa order ya kutafutwa yeye na mdhamini wake.

So what will be the last decisions from the court after them kukamatwa.??
 
Back
Top Bottom