Msemaji_
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 538
- 668
Kuna ndugu nilimkopea pesa akafungwa na kutoka lkn makubaliano ilikuwa pindi anatoka anilipe pesa yangu lkn sijapewa .nilipoenda mahakamn nikajibiwa nimtafute mtuhumiwa nimpeleke mahakaman ili akanipe pesa yangu sasa kazi ya kumuita mtuhumiwa in yangu au mahakama, hii kitu imekaaje wataalamu