msaada wa kisheria

msaada wa kisheria

goodhearted

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
1,047
Reaction score
1,339
Naomba kujua calculaton za ustawi wa jamii za matunzo ya mtoto chini ya mwaka mmoja ikiwa mwanamke ndo ameamua kuvunja ndoa mwenyewe na je kama ulilipa mahari kuna utaratibu wa kisheria wa kurudisha mahari?

Msaada wadau naona huyu mwanamke amefanya makudi ili apate mtaji maana ameenda kujifungua kwao ndo kawa mazima na anasema harudi huku akitishia kwenda ustawi wa jamii kwa madai ya matunzo ya mtoto
 
Naomba kujua calculaton za ustawi wa jamii za matunzo ya mtoto chini ya mwaka mmoja ikiwa mwanamke ndo ameamua kuvunja ndoa mwenyewe na je kama ulilipa mahari kuna utaratibu wa kisheria wa kurudisha mahari?

Msaada wadau naona huyu mwanamke amefanya makudi ili apate mtaji maana ameenda kujifungua kwao ndo kawa mazima na anasema harudi huku akitishia kwenda ustawi wa jamii kwa madai ya matunzo ya mtoto
o

Kipato changu cha kawaida tu maana mimi ni mwalimu
 
Mwambie aende haraka iwezekanavyo, atakachokutana nacho huko hatakaa afanye grave mistake km hiyo tenaaa.

Inshort huko ndo pona yako, mana utakuwa unamtumia kias kdg kuliko sasa.

Mkuu unaweza nipa japo estimation kidogo ya kiwango cha pesa kitakachokuwa kinahitajika
 
Mwambie awahi mkutane huko unaweza kukuta unaambiwa umpe elf 70 kwa mwezi
 
Naomba kujua calculaton za ustawi wa jamii za matunzo ya mtoto chini ya mwaka mmoja ikiwa mwanamke ndo ameamua kuvunja ndoa mwenyewe na je kama ulilipa mahari kuna utaratibu wa kisheria wa kurudisha mahari?

Msaada wadau naona huyu mwanamke amefanya makudi ili apate mtaji maana ameenda kujifungua kwao ndo kawa mazima na anasema harudi huku akitishia kwenda ustawi wa jamii kwa madai ya matunzo ya mtoto
Daaah sheria sijui ina nachojua haki yangu haidhulumiwi kwa njia yoyote ile.

Pole mkuu. Ivi hawa madem siku izi wanann,?? Wee sio wakwanza humu JF kua na tukio kama ili.

Asikutishe mkuu. Wacha aende ukoo. Mjinga anataka kukugeuza mtaji. Alafu bado kugonwa agongwe na kajamaa kengine uko chini ya mahar uloitoa.


Wanasheria, kuna namna ya kudai Mahari kwa case kama hii?????
 
Mwambie aende haraka iwezekanavyo, atakachokutana nacho huko hatakaa afanye grave mistake km hiyo tenaaa.

Inshort huko ndo pona yako, mana utakuwa unamtumia kias kdg kuliko sasa.
Mfan mimi ni muumini wa Kisasi. Naamin jino kwa jino.

Sasa kwa case km hii,, jamaa anaweza kudai mahar yake sababu dem naye kaamua kuvunja ndoa mwenyewe???
 
ustawi wa jamii nahisi itakuwa 30,000/- au 50,000/- kwa mwez haizidi hapo wala hawaangalii unalipwa kiasi gani hata kama unalipwa billion per month utatakiwa kumpa mkeo elfu 30 au 50 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom