Source07
Senior Member
- Oct 5, 2018
- 196
- 352
Mimi ni entrepreneur nimeanzisha mradi wangu wa ufagaji na uzalishaji wa kuku kwamaana nafuga kuku na kwa wale wanaohotaji vifaranga nawazalishia pia..Ila nimepatwa na changamoto moja nimepata watu ambao wanahitaji wajiunge wawe kama washirika(Partners) ktk huu mradi wangu lakin sujui jinsi yakuandaa mkataba au mikataba ambayo itakua niyakisheria kwamaana yeyote atakaye ukiuka au kuuvunja niwe nina haki zakisheria kumshtaki..Nimelileta kwenu najua humu wapo waliobobwea kwenye uandikaji wa Mikataba najua nitasaidika..Ahsanteni