kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
za jumatatu, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuhakikisha tunajenga nchi imara
Sorry, hili jambo kisheria ipoje
"Mtu kujidhuru, ikiwa source ni wewe mwenyewe"
Mfano ivi:
Niwe na mpenzi wangu, then mpenzi wangu uyu baada ya kukaa nae kwenye mahusiano na kuona hanifai tena nikaamua kumuacha (kwa kumtamkia kabisa kuwa sitaendelea kuwa na wewe), baada ya hapo binti/kijana akaamua kujidhuru (e.g..kujiua)
Je mimi niliyemuacha ntaingia matatizoni?
Kisheria ipoje hii
Msaada tafadhali
Sorry, hili jambo kisheria ipoje
"Mtu kujidhuru, ikiwa source ni wewe mwenyewe"
Mfano ivi:
Niwe na mpenzi wangu, then mpenzi wangu uyu baada ya kukaa nae kwenye mahusiano na kuona hanifai tena nikaamua kumuacha (kwa kumtamkia kabisa kuwa sitaendelea kuwa na wewe), baada ya hapo binti/kijana akaamua kujidhuru (e.g..kujiua)
Je mimi niliyemuacha ntaingia matatizoni?
Kisheria ipoje hii
Msaada tafadhali