Huko kwenye mahakama za mwanzo huwa kuna uonevu wa hali ya juu sana. Sitashangaa kabisa kama kuna njama imesukwa kati ya mlalamikaji, polisi, na hakimu maana hila kama hizo ni kawaida sana kwenye hizo mahakama (na hata za wilayani pia).
Mlalamikaji katishiwaje? Kwa mdomo? Kama katishiwa kwa mdomo, je, kuna shahidi au mashahidi? Kama kuna mashahidi, je, ushuhuda wao unafanana?