Msaada wa kisheria mtu kuweka ndani (Lockup) bila ya kutoa maelezo ya tuhuma

deo_gratias

Member
Jul 31, 2016
13
1
Habari wana JamiiForum!
Nina huzuni kubwa sana kwani baba yangu mzazi amekamatwa na police wakishirikiana na askari wa TANAPA na kuwekwa ndani zaidi ya wiki sasa bila ya maelezo yoyote yale ya kutosha.
(stori kwa ufupi)
Baba yangu anamiliki silaha aina ya short gun kihalali kabisa. amekuwa akiitumia kwa shughuli za kuamia shamba na wadudu waharibifu.
siku ya tarehe 8 mwezi wa 8, police wa wilaya ya Bagamoyo, wakiambatana na askari wa TANAPA walikuja nyumbani kumfuata baba yangu. kwa bahati siku iyo iyo baba alikua akielekea Bagamoyo wilayani ili kulipia bunduki yake. walipomkosa nyumbani wakaamua kuwasiliana na wenzao waliopo bagamoyo ili kwamba (baba) akifika huko asitoke mpaka watakapofika.
walipofika bagamoyo walimkamata na kumuweka ndani kwa na kutuambia kuwa wanahisi silaha yake ilitumika katika uhalifu. Tangu siku iyo, wamekuwa wakitupa jibu moja tu kwamba "wanafanya uchunguzi"
kinachoniumiza zaidi ni kwamba, kuna tetesi kuwa wanawatesa (torture) ili wakubaliane na zile tuhuma wanazowapa. tumekuwa tukizuiwa hata kumuona tangu siku iyo.
naomba msaada wa kisheria hata kwa mawazo tu jinsi ya kumtoa baba yangu.
kwanza naomba kujuzwa "Ivi kisheria, mtu anaweza kukamatwa bila ya kithibitisho?"
kama ndiyo "Atakaa ndani kwa mda gani kabla ya kufunguliwa kesi?"
"je ni ruhusa kumtesa mtu ili akubali kosa ambalo hajatenda?"
 
Poleni sana usihofu wajuzi wa sheria watakuja kutupa ufafanuzi wa kisheria
 
Aiseee pole sana ila I hope watamuachia tu.Wanasheria please njooni mtoe msaada
 
Pole kwa mateso ya babaako, hapa tatizo sio sheria tatizo ni weledi wa jeshi letu la polisi na tatizo la tamaa ya kutaka rushwa.

Hii inaonekana ni deal kati ya polisi na askari wa tanapa wanataka rushwa, kwa kutumia sheria kali za wanyamapori na hifadhi ya taifa.

Nakushauri mtafute wakili haraka sana achukue hatua za kumpatia haki ya dhamana wakati wa uchunguzi wa polisi unaendelea.

Polisi tangia waiweke ccm madarakani wanajifanyia lolote wanalotaka ndio maana hata sheria ya kutomuweka mtuhumiwa mahabusi zaidi ya masaa 48 haiwaizibgatii siku hizi.
 
Habari wana JamiiForum!
Nina huzuni kubwa sana kwani baba yangu mzazi amekamatwa na police wakishirikiana na askari wa TANAPA na kuwekwa ndani zaidi ya wiki sasa bila ya maelezo yoyote yale ya kutosha.
(stori kwa ufupi)
Baba yangu anamiliki silaha aina ya short gun kihalali kabisa. amekuwa akiitumia kwa shughuli za kuamia shamba na wadudu waharibifu.
siku ya tarehe 8 mwezi wa 8, police wa wilaya ya Bagamoyo, wakiambatana na askari wa TANAPA walikuja nyumbani kumfuata baba yangu. kwa bahati siku iyo iyo baba alikua akielekea Bagamoyo wilayani ili kulipia bunduki yake. walipomkosa nyumbani wakaamua kuwasiliana na wenzao waliopo bagamoyo ili kwamba (baba) akifika huko asitoke mpaka watakapofika.
walipofika bagamoyo walimkamata na kumuweka ndani kwa na kutuambia kuwa wanahisi silaha yake ilitumika katika uhalifu. Tangu siku iyo, wamekuwa wakitupa jibu moja tu kwamba "wanafanya uchunguzi"
kinachoniumiza zaidi ni kwamba, kuna tetesi kuwa wanawatesa (torture) ili wakubaliane na zile tuhuma wanazowapa. tumekuwa tukizuiwa hata kumuona tangu siku iyo.
naomba msaada wa kisheria hata kwa mawazo tu jinsi ya kumtoa baba yangu.
kwanza naomba kujuzwa "Ivi kisheria, mtu anaweza kukamatwa bila ya kithibitisho?"
kama ndiyo "Atakaa ndani kwa mda gani kabla ya kufunguliwa kesi?"
"je ni ruhusa kumtesa mtu ili akubali kosa ambalo hajatenda?"
Baba yangu anaishi kijijini kiwanga, wilaya ya bagamoyo.
Pole kwa mateso ya babaako, hapa tatizo sio sheria tatizo ni weledi wa jeshi letu la polisi na tatizo la tamaa ya kutaka rushwa.

Hii inaonekana ni deal kati ya polisi na askari wa tanapa wanataka rushwa, kwa kutumia sheria kali za wanyamapori na hifadhi ya taifa.

Nakushauri mtafute wakili haraka sana achukue hatua za kumpatia haki ya dhamana wakati wa uchunguzi wa polisi unaendelea.

Polisi tangia waiweke ccm madarakani wanajifanyia lolote wanalotaka ndio maana hata sheria ya kutomuweka mtuhumiwa mahabusi zaidi ya masaa 48 haiwaizibgatii siku hizi.
Shukran mkuu kwa ushauri wako
 
Hapo msaada ni mwanasheria tu la sivyo anaweza kupewa kesi hata ya armed robbery na ndo atakaa ndani mpaka utamsahau maana armed robbery haina dhamana
 
Habari wana JamiiForum!
Nina huzuni kubwa sana kwani baba yangu mzazi amekamatwa na police wakishirikiana na askari wa TANAPA na kuwekwa ndani zaidi ya wiki sasa bila ya maelezo yoyote yale ya kutosha.
(stori kwa ufupi)
Baba yangu anamiliki silaha aina ya short gun kihalali kabisa. amekuwa akiitumia kwa shughuli za kuamia shamba na wadudu waharibifu.
siku ya tarehe 8 mwezi wa 8, police wa wilaya ya Bagamoyo, wakiambatana na askari wa TANAPA walikuja nyumbani kumfuata baba yangu. kwa bahati siku iyo iyo baba alikua akielekea Bagamoyo wilayani ili kulipia bunduki yake. walipomkosa nyumbani wakaamua kuwasiliana na wenzao waliopo bagamoyo ili kwamba (baba) akifika huko asitoke mpaka watakapofika.
walipofika bagamoyo walimkamata na kumuweka ndani kwa na kutuambia kuwa wanahisi silaha yake ilitumika katika uhalifu. Tangu siku iyo, wamekuwa wakitupa jibu moja tu kwamba "wanafanya uchunguzi"
kinachoniumiza zaidi ni kwamba, kuna tetesi kuwa wanawatesa (torture) ili wakubaliane na zile tuhuma wanazowapa. tumekuwa tukizuiwa hata kumuona tangu siku iyo.
naomba msaada wa kisheria hata kwa mawazo tu jinsi ya kumtoa baba yangu.
kwanza naomba kujuzwa "Ivi kisheria, mtu anaweza kukamatwa bila ya kithibitisho?"
kama ndiyo "Atakaa ndani kwa mda gani kabla ya kufunguliwa kesi?"
"je ni ruhusa kumtesa mtu ili akubali kosa ambalo hajatenda?"

Sheria zipo na zinaeleza waz kabisa tatizo lililopo ninamna ya utekelezaji wa hizo act,kwahao watekelezaji,sheria inatamka:-mtuhumiwa anapo kamatwa anatakiwa ahojiwe ndani ya 4hr tokea kukamatwa kwake si vinginevo,na hayo mahojiano mtuhumiwa anaweza kushirikisha ndugu ama jamaa,na muda wa mtuhumiwa kuwa polisi husizidi 8hr,na muda huo ukipita wanapaswa wawe na kibari cha kutoka mahakama iliyo karibu,hizo ni sheria za makosa ya jinai CPA,.karibu sna
 
ni kosa kisheria kumshikilia raia yoyote /kumweka kizuizini pasipo sababu maalumu / sheria ya tanzania inasema @ mtu akiwekwa kizuizini / rumande asikae zaidi ya masaa 24/ ndani ya masaa hayo awe ameshafikishwa mahakani hivyo mzee wako anauwezo wa kushinda hapo tafuta lawyer yatakwisha [HASHTAG]#pole[/HASHTAG] ndugu
 
Back
Top Bottom