chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,819
- 26,180
Habari wakuu.
JF ni jungu kuu hivyo halikosi ukoko.
Naona kuna watu wengi wanaenda kuachiwa huru kwa kukosekana ushahidi juu ya shutuma za dawa za kulevya zilizoelekezwa kwao.
Vivyo hivyo Serikali nayo inajipanga namna ya kuwalipa fidia walioshututumiwa bila ushahidi wa kuhusika kwao kwenye shutuma nzito za dawa za kulevya.
Serikali ina pesa nyingi bila shaka za kuwalipa watu fidia. Sasa tujuzane hapa kinaga ubaga namna ya kudai haki kwa waliochafuliwa na kiasi cha fidia wanachoweza kudai.
Ahsanteni
JF ni jungu kuu hivyo halikosi ukoko.
Naona kuna watu wengi wanaenda kuachiwa huru kwa kukosekana ushahidi juu ya shutuma za dawa za kulevya zilizoelekezwa kwao.
Vivyo hivyo Serikali nayo inajipanga namna ya kuwalipa fidia walioshututumiwa bila ushahidi wa kuhusika kwao kwenye shutuma nzito za dawa za kulevya.
Serikali ina pesa nyingi bila shaka za kuwalipa watu fidia. Sasa tujuzane hapa kinaga ubaga namna ya kudai haki kwa waliochafuliwa na kiasi cha fidia wanachoweza kudai.
Ahsanteni