Existentialist
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 554
- 377
Jamani nilituma pesa kutoka M-PESA kwenda NMB toka tarehe 27/10/2013 mpaka sasa lakini hiyo pesa hajaonekana bank, nimejaribu kufuatilia pande zote kila moja anamtupia mwingine kete mbaya zaidi pesa zangu voda hawaki kuzirudisha wakidai tayari transaction ya kwenda bank imefanyika.....nimeenda NMB wanasema hawezi kunisaidia nirudi voda mbaya zaidi kuna mdada wa NMB kanijibu ovyo......
Naomben msaada wenu wa kisheria ili nikawashitaki VODACOM na NMB kwan hawawezi kunidhurumu kweupe hivi wakati mimi mwenye mshahara naupata kwa matusi mengi toka kwa mhindi
It's serious issue tafadhari nisaidieni
Naomben msaada wenu wa kisheria ili nikawashitaki VODACOM na NMB kwan hawawezi kunidhurumu kweupe hivi wakati mimi mwenye mshahara naupata kwa matusi mengi toka kwa mhindi
It's serious issue tafadhari nisaidieni