Msaada wa kisheria; Mwajiri hataki kumpa fedha zake, amfanyeje?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,311
73,854
Kuna ndugu yangu amestaafu. Anadai fedha zake toka kwa mwajili. Almost 3 years tangu astaafu. Amemkumbushia fedha hizo mwajili ansema hanan hela. afanyeje? Nauliza hivyo kwa kuwa time limitation inaweza kuwa tatizo la kudai haki yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom