Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wadau naomba tusaidiane katika ili,nina shangazi yangu mdogo tu 24 ameachishwa kazi bila kufanyiwa haya na mwajiri wake kama taratibu na sheria za kazi . Shangazi ni mwalimu katika shule ya private,jana ameachishwa kazi na meneja wa shule bila mwajiri kufanya yafuatayo.
Barua ya onyo
Kumlipa stahiki zake mfano mshahara wa mwezi na likizo
Kumpa barua au cheti cha kuachishwa kazi
Sababu za kuvunja au kustishwa ajira
Hela za usafiri wa kurudi kwao Iringa na vitu vyake na mtoto wake
Malipo yake ya NSSF mpaka leo yalikua bado hayajapelekwa
Sasa wadau naombeni msaada ni nini lakufanya hapa
Barua ya onyo
Kumlipa stahiki zake mfano mshahara wa mwezi na likizo
Kumpa barua au cheti cha kuachishwa kazi
Sababu za kuvunja au kustishwa ajira
Hela za usafiri wa kurudi kwao Iringa na vitu vyake na mtoto wake
Malipo yake ya NSSF mpaka leo yalikua bado hayajapelekwa
Sasa wadau naombeni msaada ni nini lakufanya hapa