Tumeweka pingamizi tayari mahakaman na CRDB hawajatoa jibu juu ya pingamizi hilo,na kilichotushangaza zaidi tarehe 27 June 2016 (Jumatatu iliyopita) walipita na kipaza sauti mtaani kwetu wakitangaza mnada wa nyumba na kesho yake tarehe 28 June 2016 walikuja nje ya nyumba wakapaza sauti eti wapo na mteja hapo na nyumba imenunuliwa tayari kwa Milion 10 wakawasha gari nakuondoka,Sasa nashindwa kuelewa inakwaje wanafanya iv na kesi bado ipo mahakamani.
Iv walivyofanya ni sahihi au ?
Na kesho tarehe 4 July 2016 ndo siku iliyokuwa imewekwa na mahakama kwenda kusikiliza majibu ya pingamiz