single father
Member
- Oct 22, 2019
- 76
- 117
Kwako Rakims na wajuzi wengine,
Swali langu ni kwamba, mke wangu anajambo linamsumbua sana. Iko hivi, anafika sehem kwa mara ya kwanza halafu anakuwa kama alishawai kufika hapo siku za nyuma ili hali hakuwa anapajua kabisa.
Sasa juzi imekuwa ni zaidi, yaani nimempleka kwenye kikao mwenyewe na hakuwa anajua ile sehem, ila baada ya kikao ameniambia hicho kikao alishawahi kuhudhuria na agenda ndio hizo, hadi ukumbi ndio huohuo na namna watu walivyo jipanga.
Huwa namkatalia ila naona inazidi, kwa sasa anahofu hata kuniambia maana anajua nitamkrash.
Swali langu ni kwamba, mke wangu anajambo linamsumbua sana. Iko hivi, anafika sehem kwa mara ya kwanza halafu anakuwa kama alishawai kufika hapo siku za nyuma ili hali hakuwa anapajua kabisa.
Sasa juzi imekuwa ni zaidi, yaani nimempleka kwenye kikao mwenyewe na hakuwa anajua ile sehem, ila baada ya kikao ameniambia hicho kikao alishawahi kuhudhuria na agenda ndio hizo, hadi ukumbi ndio huohuo na namna watu walivyo jipanga.
Huwa namkatalia ila naona inazidi, kwa sasa anahofu hata kuniambia maana anajua nitamkrash.