Msaada wa kimawazo

Msaada wa kimawazo

Wajinga ndio waliwao yani mtu kakuzidi kipato lkn bado ww unakopa halaf unampa yeye?!


Ukweli ni kuwa siku ya mwisho utakuja kulia machozi ya damu maana utaachwa vibaya sana


Sisi wanaume tunapenda mteremko sana be very careful from now on usijipe asilimia zote kuwa utaolewa hapo au hiyo tabia itaisha
 
Kama ni kweli kuwa ana mshahara Mkubwa kbs kuliko wewe na hataki muongelee habari ya future yenu huenda ana mwanamke mwingine ambaye pia ana malengo naye.

Ila kama sivyo, inawezekana kabisa kuwa anakupenda kweli na ana malengo nawewe ila hataki/hapendi kukuoa akiwa na hali flani ya kiuchumi aliyo nayo hivi sasa. Labda anapredict akishafanikiwa suala flan ndipo muoane.

Nimeandika hayo kupitia experience. All the best.
 
Habari za usiku!

Nimekuja mbele zenu ndugu zangu nikiomba mawazo yenu na ushauri wenu kwenye hili tatizo linalotesa nitesa sana.

Mimi ni mwanamke nilie kwenye late 20's na kwasasa nipo kwenye mahusiano na mwanaume ambae yupo kwenye 30+ na to be honest nampenda kweli huyu mwanaume na nilikua tayari kuishi nae kwenye hali yoyote Ile ila kwa sasa imefikia point najiona kwenda kufail na uvumilivu kufika mwisho ingawa bado sijakata tamaa.

Na mwanzoni alinijengea mazingira ya kumtrust na kweli within a short time nilimuamini sana na kujiona now nipo kwenye safe side.

Tulipanga mipango mingi ya kimaisha ingawa hadi sasa hakuna hata moja lililotekeleza na zaidi zaidi mimi ndio nimekua muhanga na hadi kunifanya niombe ushauri wenu.

Tangu nimeanza relation na huyu mwenzangu mimi ndio nimekua provider, akiwa kaishiwa akiniomba pesa huwa sina tatizo akiomba nampa, mda mwingine ataniambia nikopeshe nampa lkn sikua naona ni vibaya sababu najua kwenye relation kusaidiana kupo na kuna mda mambo huwa hayawi mazuri

But kitu nilichokua kugundua baadae huyu mwenzangu ni selfish sana yeye akiwa na tatizo anataka soon umsaidie ila mimi hata siku moja hajawahi nisaidia chochote hata uwe na tatizo vipi ukimwambia anaweza asijibu yani in short hajawahi nisaidia kwa lolote lile.

Kinachoniuma zaidi na kunitesa alinifanya niingie kwenye deni ili kufanikisha issue fulani aliyoiplan yeye na mimi niliona ni ya msingi na profitable kumbe ni hewa haipo baada tu ya kumkabidhi pesa sijaona chochote na sijui pesa alipeleka wapi.

Nimejaribu kwa mda mrefu kuongea nae hata kama alikua na tatizo basi pesa ya watu niliyochukua tuirudishe but amekua akikwepa na kunipa ahadi hewa kila siku na huku mimi nasumbuliwa sana nirudishe pesa za watu.

Nnachoumia zaidi mwenzangu kipato chake ni kikubwa, kimaisha yupo mbele sana zaidi yangu lkn amekua ananinyonya mimi bila huruma na kunisababishia madeni ambayo hata pesa sijui ilienda wapi na ilifanya nini.

Kitu kingine kinachoniumiza huyu mwenzangu ni mtu ambae hajali kabisa uwepo wangu, hana mda wa kukaa na mimi, hata nimuombe tukae kwa mda mfupi ataishia kuniambia niko busy na kazi, yani hata awe free vipi nikiingizia tu swala la kukaa na tuzungumze lazima alete sababu inabidi tu niwe mpole na kumsikiliza yeye.

Ila kinachonishangaza yeye huishia kaniambia siwezi kuachana na wewe na wewe ndio mke wangu na hata hata itokee nimpe maneno makali vipi hajawahi kureact negatively na suala la mawasiliano kwenye simu yupo so active na huwa ananiambia tu ipo siku yote yataisha.

Kiukweli nimejikuta nipo njia panda maumivu nayapata sana na nnateseka sana lkn kwa upande mwingine nikiangalia huyu mwenzangu hajawahi kuonyesha kama hanitaki na kila siku haachi kuniambia ananipenda.

Naombeni ushauri wenu wa kimawazo may be kuna watu waliwahi kutana na situation kama yangu, nipo kwenye kipindi kigumu sana, msongo wa mawazo umekua ni mkubwa sana hadi najikuta hata mambo mengine nashindwa kabisa kuyafanya.
Huyo anakupenda kinafki tu..zinduka kabla hajakulimbikizia madeni na ukitupwa jela ujue atachekelea kwa kupasi mission yake ya kukufanya mjinga
 
wewe moyo wako unakusemeza nn juu yake? ni kiasi cha kupima tu upenzi bubu hivyo ukiingia ndoani si utataabika? mana nyota njem huonekana asubuh kua na msimamo hapa namanisha alipe pesa za watu kama hataki jipange urudishe then punguza mawasiliano kidogokidogo akija naishu za kuomba pesa mwambe sina usimuonelee huruma then nikuambie tumapenzi ni vitendo n sio maneno na kuna kupendana sio nampenda mmeshakua wawili mnapaswa kushirikishana sio kila mtu ajiangalie mwenyewe

pole!
 
Kama ni kweli kuwa ana mshahara Mkubwa kbs kuliko wewe na hataki muongelee habari ya future yenu huenda ana mwanamke mwingine ambaye pia ana malengo naye.

Ila kama sivyo, inawezekana kabisa kuwa anakupenda kweli na ana malengo nawewe ila hataki/hapendi kukuoa akiwa na hali flani ya kiuchumi aliyo nayo hivi sasa. Labda anapredict akishafanikiwa suala flan ndipo muoane.

Nimeandika hayo kupitia experience. All the best.
Yote yanawezekana
 
wewe moyo wako unakusemeza nn juu yake? ni kiasi cha kupima tu upenzi bubu hivyo ukiingia ndoani si utataabika? mana nyota njem huonekana asubuh kua na msimamo hapa namanisha alipe pesa za watu kama hataki jipange urudishe then punguza mawasiliano kidogokidogo akija naishu za kuomba pesa mwambe sina usimuonelee huruma then nikuambie tumapenzi ni vitendo n sio maneno na kuna kupendana sio nampenda mmeshakua wawili mnapaswa kushirikishana sio kila mtu ajiangalie mwenyewe

pole!
Asante kwa ushauri
 
Poor you!
Being in your late 20's ickufanye upate shidahadi udate na mtu anaekufanya nafs yako ilie.. You need to be happy ufurahie mapenz cyo uteseke na kuumia
1,ushagundua ni selfish
2,ni marioo mzur tu
3,hajali furaha yako
4,anakutumia kwa faida zake ndo maana hawez toka out na ww na ucpoangalia anakuita cku akiwa na mihemko tu
5,hana future na wew yupo na ww kwa economic reasons tu uku muda wako unaenda ucdanganyke kuitwa mke akat hajakuoa na uckute ana mke + watoto mama
6,jiulze ukiolewa nae itakuaje na ucrogwe kubeba mimba et ndo akuoe utalia mchana na ucku peke yako... I'm telling you vzur tu kama unaumia vunja hyo relationship asubuhi na mapema afu take time.. Wanaume wanatofautiana just like us girls kuna wadangaj na wakuish nae! Akili kumkichwa mae!
 
shogangu niskilize mimi utalia zaid ya hapo ukiolewa !najua kwassa huwez nielewa kbs ! huyo hakawii kununua kiatu cha laki 2 wewe asikununulie ht yeboyebo za 3000! niamini haya ! wepesi kweli kuomba pesa kwa wake zao wakiwa nazp hawakukumbuki !

ni hayo tu! utanikumbuka
Yan mamy tena atalia mno nilipata hyo relationship mtu ana kaz hakupi hata Mia mbovu tena ww ndo unampa na you are still chuo boom mnakula wote afu anaenda kula bata na washkaj akifulia anakupgia cm c anajua unampenda utampa tu! But Ilpovunjika nlkunywa wine Chupa nzima kusherekea my freedom from that hell... And inabd atambue every decision has a price! Lazma awe lonely na aumie tu kwa ajili ya maisha yake!
 
Yan mamy tena atalia mno nilipata hyo relationship mtu ana kaz hakupi hata Mia mbovu tena ww ndo unampa na you are still chuo boom mnakula wote afu anaenda kula bata na washkaj akifulia anakupgia cm c anajua unampenda utampa tu! But Ilpovunjika nlkunywa wine Chupa nzima kusherekea my freedom from that hell... And inabd atambue every decision has a price! Lazma awe lonely na aumie tu kwa ajili ya maisha yake!


haaha mie jaman sipend mtu mbinafsi !nahis sinaga lugha ya kuelezea!hongera sana
 
Dada jipange upya kwa mtu mwingine hapo hamna mume afu pia kwa age yako ndio haswaa unapaswa kuwa makini maana nibora ukosee kununua cm lkn sio mke wala mume
 
Poor you!
Being in your late 20's ickufanye upate shidahadi udate na mtu anaekufanya nafs yako ilie.. You need to be happy ufurahie mapenz cyo uteseke na kuumia
1,ushagundua ni selfish
2,ni marioo mzur tu
3,hajali furaha yako
4,anakutumia kwa faida zake ndo maana hawez toka out na ww na ucpoangalia anakuita cku akiwa na mihemko tu
5,hana future na wew yupo na ww kwa economic reasons tu uku muda wako unaenda ucdanganyke kuitwa mke akat hajakuoa na uckute ana mke + watoto mama
6,jiulze ukiolewa nae itakuaje na ucrogwe kubeba mimba et ndo akuoe utalia mchana na ucku peke yako... I'm telling you vzur tu kama unaumia vunja hyo relationship asubuhi na mapema afu take time.. Wanaume wanatofautiana just like us girls kuna wadangaj na wakuish nae! Akili kumkichwa mae!
Thank you kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Yan mamy tena atalia mno nilipata hyo relationship mtu ana kaz hakupi hata Mia mbovu tena ww ndo unampa na you are still chuo boom mnakula wote afu anaenda kula bata na washkaj akifulia anakupgia cm c anajua unampenda utampa tu! But Ilpovunjika nlkunywa wine Chupa nzima kusherekea my freedom from that hell... And inabd atambue every decision has a price! Lazma awe lonely na aumie tu kwa ajili ya maisha yake!
Ila hawa wanaume najiona kabisa naenda kukata tamaa
 
Amekuoa??? kama hajakuoa embu jiongeze na wewe, ya nini uteseke?
 
ukiona manyoya ujue......hapo unatumika na huruma yako ya kudhani utapendwa imekugharimu sana....
Sijui kwa nini hua mna complicate mapenzi...yaani "if u love, give n receive nothing in return" then upo mahala hutakiwi kabisaaaaaaa.....kuedelea kubaki ni kuedelea kuumia sana tu...wewe ndio mlinzi wa moyo wako at 100% usitegemee yeyote yule aje kusimama kwa ajili yako..unavyoona mambo yanakwenda sivyo na hata baada ya kumwambia mwenzio yapo vile vile ni ishara unachukuliwa poa...
 
Back
Top Bottom