Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Habari wakuu
Kuna mama mmoja hapa jirani ana kijana wake wa kiume wa miaka 18,lakini changamoto ni kuwa kijana hataki shule,kajiingiza kwenye makundi kila mara kesi zinaletwa nyumbani
Na ndo mtoto wa pekee wa kiume katika uzazi wake.
Kiukweli inamuuma sana na kibaya zaidi ni single mother
Je afanye nini ili huyu mtoto wake arudi kwenye standard
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mama mmoja hapa jirani ana kijana wake wa kiume wa miaka 18,lakini changamoto ni kuwa kijana hataki shule,kajiingiza kwenye makundi kila mara kesi zinaletwa nyumbani
Na ndo mtoto wa pekee wa kiume katika uzazi wake.
Kiukweli inamuuma sana na kibaya zaidi ni single mother
Je afanye nini ili huyu mtoto wake arudi kwenye standard
Sent using Jamii Forums mobile app