Mi kwangu imekubabi na nmeshadownload hiyo admission letter na other documents.
mkuu hzo document zngine ni zp hzo! nielekeze mkuu
Umeingia kupitia kwenye simu au wap kaka
hahaha mbablu..hahahaIsitoshe muda ndio huo unasonga na baadhi ya ofc zetu zipo mbablu na uchaguzi ndio huo, presha juu na maboss wetu ndio miungu watu t.utakoma
sasa wanangoja nini kutoa second batch? cjui wapoje UDOM.hii inafunguka kwa wale waliochaguliwa tangu mwanzo bt kwa wale waliochaguliwa sasa hivi bado inaingua.
Mimi nimemchukulia form six wa 2007, hapo ili mradi details zikiwa sahihi unapata kwa urahisiMr Maldoso hio inawahusu wale form six waliomaliza 2012 wanaotaka kuchukua degree
Asante kwa taarifa ndg,wapendwa n kwel udom wamaachia admission letter