Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Naombeni msaada na shida na joining instruction shule ya iyunga mbeya kitado cha 5 kwa mwaka 2021/2022.
Nimeingia tamisemi naona inagoma.
Nimeingia tamisemi naona inagoma.
hii tunajiongezaga bhana hebu nisaidie joining mmJoining instruction ya nini? Vitu vingi utavyokutana navyo wala haviko kwenye joining instruction. Mfano mango pickle ya kuongeza ladha ya kwenye ugali (bondo) ...
Niliyo nayo ni ya miongo miwili iliyopita. Mambo mengi yatakuwa yamekwisha badilika.hii tunajiongezaga bhana hebu nisaidie joining mm