Inategemea na HDD baadhi zinakula umeme zaidi waya wako wa Otg utatakiwa uwe kama hivi.Habari wanaJF,
Naomba kusaidiwa namna ya kutumia OTG/OTG CABLE AU NAMNA NYINGINE YOYOTE katika simu ili Iweze kusoma FILES kutoka kwenye EXTERNAL HARDDISK.
NB: Natumia Samsung A50
External HDD ni 1TB
Ahsante sana...ila hapo nafikiri itanilazimu niwe karibu na chanzo cha ziada cha nishati(umeme)PC n.k kama ulivyoainisha Ingawa nlihitaji connection ya moja kwa moja ambapo ni CABLE kutoka kwenye EXT HDD hadi kwenye simu bila kupitia sehem nyingne...but thanks again, nitajaribu hii(nikipata yenye Type C)Inategemea na HDD baadhi zinakula umeme zaidi waya wako wa Otg utatakiwa uwe kama hivi.
usb male inaingia sehemu ya kuchukulia umeme kama port ya laptop, deki, tv, charger etc
Micro usb inaenda kwenye simu
Usb female ndio unachomeka kifaa chako.
labda powerbank inaweza kuwa portable na kufanikisha.Ahsante sana...ila hapo nafikiri itanilazimu niwe karibu na chanzo cha ziada cha nishati(umeme)PC n.k kama ulivyoainisha Ingawa nlihitaji connection ya moja kwa moja ambapo ni CABLE kutoka kwenye EXT HDD hadi kwenye simu bila kupitia sehem nyingne...but thanks again, nitajaribu hii(nikipata yenye Type C)
Ahsante sana...ila hapo nafikiri itanilazimu niwe karibu na chanzo cha ziada cha nishati(umeme)PC n.k kama ulivyoainisha Ingawa nlihitaji connection ya moja kwa moja ambapo ni CABLE kutoka kwenye EXT HDD hadi kwenye simu bila kupitia sehem nyingne...but thanks again, nitajaribu hii(nikipata yenye Type C)
Ahaa...nafikiri huo waya ndo kitu sahihi kabisa, kuunganisha pande hizo mbili moja kwa mojaNiliwahi kua na Tablet ilikuja na huo waya na haikuhitaji source nyingine yoyote ile ya umeme.
Nilikua nachomeka huo waya kweny flash/external then kwny simu nahamisha files zangu bila shida kabisa.,sijui kama ndio huo ulikua unamaanisha au la.
Nashukuru sana ndugu.Hii itarahisisha zaidi.Kwa upande wangu nilishajaribu na natumia mpaka sasa.....
Iko hivi , simu haina uwezo wa kuread NTFS files, yenyewe ni FAT 32 tu...
So unachotakiwa kufanya ni kudownload app inaitwa exFAT/NTFS for USB by Paragon software ipo Playstore . ...
Au kama hdd yako haina kitu iFORMAT kwa FAT 32 then itaweza kusoma kwenye simu bila ya hiyo programView attachment 1547464
Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app
TuHabari wanaJF,
Naomba kusaidiwa namna ya kutumia OTG/OTG CABLE AU NAMNA NYINGINE YOYOTE katika simu ili Iweze kusoma FILES kutoka kwenye EXTERNAL HARDDISK.
NB: Natumia Samsung A50
External HDD ni 1TB
A50 haina uwezo wa kusoma 1TB HDD labda ingekuwa SSDHabari wanaJF,
Naomba kusaidiwa namna ya kutumia OTG/OTG CABLE AU NAMNA NYINGINE YOYOTE katika simu ili Iweze kusoma FILES kutoka kwenye EXTERNAL HARDDISK.
NB: Natumia Samsung A50
External HDD ni 1TB