kikositija
Senior Member
- Jun 19, 2017
- 123
- 103
Ndugu
Kwa anaejua jinsi ya kutoa paten iliyosahaulika ktk simu iliyotajwa hapo juu bila ya kufrash.
Najua humu kuna hazina ya wajuzi wengi kama akina Chief Mkwawa na wengine tafadhali
Naombeni msaada wenu..
Kwa anaejua jinsi ya kutoa paten iliyosahaulika ktk simu iliyotajwa hapo juu bila ya kufrash.
Najua humu kuna hazina ya wajuzi wengi kama akina Chief Mkwawa na wengine tafadhali
Naombeni msaada wenu..