Msaada wa jinsi ya kuhusu kuchukua mzigo posta

Mkuu naomba kuuliza kuna mzigo nataka kugiza kutoka China kwa kuwatumia AliExpress...

1:-Hv upande wa malipo unafanyaje Kama mtu hujajiunga na huduma za kibank,pia vp utaweza kuconvert tsh kwenda us dollar.

2ili nataka kujua mzigo ukifika huwa unafikia wapi au ndo posta Kama ulivyofikishiwa mzigo wako.
Kama ni AliExpress, njia cheap na rahisi kwako ni Master/Visa Card. Kampuni za simu huwa zinatoa virtual mastercard lakini sina uhakika zina-expire baada ya muda gani.

Don't worry about currency conversion!

Sehemu inayofikia mzigo itategemea shipping method uliyotumia. Uzuri wa AliExpress unaweza kutumia Posta, na kwahiyo mzigo utafikia posta! Sio lazima uwe na SLP manake, kwa kawaida mzigo ukifika utatumiwa SMS,au unaweza kwenda kuulizia ukiona unachelewa!!
 
Mkuu naomba kuuliza kuna mzigo nataka kugiza kutoka China kwa kuwatumia AliExpress...

1:-Hv upande wa malipo unafanyaje Kama mtu hujajiunga na huduma za kibank,pia vp utaweza kuconvert tsh kwenda us dollar.

2ili nataka kujua mzigo ukifika huwa unafikia wapi au ndo posta Kama ulivyofikishiwa mzigo wako.
1. Kma huna huduma za kibenki Airtel na Voda wana toa mastercard kwa wateja wa Mpesa na Airtel money. Ingia kwenyew menu ya AirtelMoney/Mpesa then changua option ya mastercard. Utatengeneza card.

Lakini kwasabab kadi hzo hazipokei hela inakua ishu kma ukidai refund ikiwa mzigo haujafika au ni mbovu.
Hvyo basi jiunge PayPal na una link card hyo uliyopewa na Airtel au Voda.

Kupitia PayPal kma ukiwa refunded hela yako itaingia PayPal na unaweza kuitoa kiurahisi kwa kuituma bank au money transfer zilizokua supported.

Mm natumia Airtel Money mastercard na PayPal kuagiza vitu

2. Ukiagiza mzigo inategemea waliotumia wametumia service gani.

Dhl na ups huwa inaingia Airport na wanaweza kukwambia ukachukilie kule. Airport ni jau mzee wanapiga hela kubwa sana kule, so epuka DHL unless kma uko tayari kutoa hela kubwa

Wengine wanatumia Posta. Inategemea sasa kma eBay na Aliexpress mara nyingi makampuni yanayohusiana na shipping huwa wanatuma Posta ya pale Posta Mpya unaenda kuchukua sehem ya Parcel (mm mwenyew ndo mara yangu ya kwanza kuchukulia kule)

Na kuna mizigo mingine inayoenda Posta office ya Kariakoo. Hii inakua mara nyingi ile iliyotumwa na Aliexpress standard shipping inakuwa in bulk. Posta office ya kkoo ndo nimeenda sana na kwa experience yangu kule ndo huwa silipishwi kodi na vinavyoenda kule ni vitu vidogo vidogo vya bei chee kma earphone, visandal, vihereni nk.


Nnachokushauri ni kwa ssahvi inaonekana wadau wamekomalia kodi. So ukiagiza kitu upigie kodi appromation ya 18% VAT kwa vitu vya electronics for personal use. Au kabla hujaagiza kaulizie kwanza posta kuwa kma hicho kitu kikingia kodi itakuwa bei gani. Watakuhesabia watakuambia ili ujue mapema kabla mzigo hujaingia alaf ukashindwa kuukomboa sabab kodi ni kubwa
 
Kama ni AliExpress, njia cheap na rahisi kwako unayoweza kutumia kwa muuzaji yeyote ni Master/Visa Card. Kampuni za simu huwa zinatoa virtual mastercard lakini sina uhakika zina-expire baada ya muda gani.

So, uhakika ni ama uwe kadi kutoka benki yako, na kama huna bank account, basi zipo benki zinazo-issue kadi bila kuwa na akaunti. Suala la ku-convert TZS to USD lisikuumize kichwa coz' system yenyewe ina-calculate na ku-debit equivalent amount kutoka kwenye TZS zako!!

Sehemu inayofikia mzigo itategemea shipping method uliyotumia. Uzuri wa AliExpress unaweza kutumia Posta, na kwahiyo mzigo utafikia posta! Sio lazima uwe na SLP manake, kwa kawaida mzigo ukifika utatumiwa SMS, lakini pia kama kwenye tracking unaona umeshafika, au unaona umechelewa sana, unaweza kwenda posta kuuliza hata kama hujatumia sms!!
Shukran Sana mkuu umenifungua macho
 
Very cheap... sipati picha ingekuwa DHL hapo!!
Dhl wangepiga 70k au laki. Hawa Royal Mail naona wako poa sana. Maana ndani ya week 1 na siku 4 mzigo ulikua tayari ushafika Dar na hyo ilikua na maishu ya Corona haya yaliyofanya vitu viwe slow huko nje.
 
1. Kma huna huduma za kibenki Airtel na Voda wana toa mastercard kwa wateja wa Mpesa na Airtel money. Ingia kwenyew menu ya AirtelMoney/Mpesa then changua option ya mastercard. Utatengeneza card.

Lakini kwasabab kadi hzo hazipokei hela inakua ishu kma ukidai refund ikiwa mzigo haujafika au ni mbovu.
Hvyo basi jiunge PayPal na una link card hyo uliyopewa na Airtel au Voda.

Kupitia PayPal kma ukiwa refunded hela yako itaingia PayPal na unaweza kuitoa kiurahisi kwa kuituma bank au money transfer zilizokua supported.

Mm natumia Airtel Money mastercard na PayPal kuagiza vitu

2. Ukiagiza mzigo inategemea waliotumia wametumia service gani.

Dhl na ups huwa inaingia Airport na wanaweza kukwambia ukachukilie kule. Airport ni jau mzee wanapiga hela kubwa sana kule, so epuka DHL unless kma uko tayari kutoa hela kubwa

Wengine wanatumia Posta. Inategemea sasa kma eBay na Aliexpress mara nyingi makampuni yanayohusiana na shipping huwa wanatuma Posta ya pale Posta Mpya unaenda kuchukua sehem ya Parcel (mm mwenyew ndo mara yangu ya kwanza kuchukulia kule)

Na kuna mizigo mingine inayoenda Posta office ya Kariakoo. Hii inakua mara nyingi ile iliyotumwa na Aliexpress standard shipping inakuwa in bulk. Posta office ya kkoo ndo nimeenda sana na kwa experience yangu kule ndo huwa silipishwi kodi na vinavyoenda kule ni vitu vidogo vidogo vya bei chee kma earphone, visandal, vihereni nk.


Nnachokushauri ni kwa ssahvi inaonekana wadau wamekomalia kodi. So ukiagiza kitu upigie kodi appromation ya 18% VAT kwa vitu vya electronics for personal use. Au kabla hujaagiza kaulizie kwanza posta kuwa kma hicho kitu kikingia kodi itakuwa bei gani. Watakuhesabia watakuambia ili ujue mapema kabla mzigo hujaingia alaf ukashindwa kuukomboa sabab kodi ni kubwa
Shukran Sana mkuu..

Mimi mzgo ninaotaka kuagiza kwa Sasa ni wa sh 24,000 tu bila shipping cost nataka niagize kwanza huo zen nkipata experience ndo ntaagiza mzgo wa laki 2.
 
Dhl wangepiga 70k au laki. Hawa Royal Mail naona wako poa sana. Maana ndani ya week 1 na siku 4 mzigo ulikua tayari ushafika Dar na hyo ilikua na maishu ya Corona haya yaliyofanya vitu viwe slow huko nje.
Sijawahi kuagiza kutoka UK lakini kama ingekuwa ndo US au China, ingezidi 200K za Kibongo.
 
Shukran Sana mkuu..

Mimi mzgo ninaotaka kuagiza kwa Sasa ni wa sh 24,000 tu bila shipping cost nataka niagize kwanza huo zen nkipata experience ndo ntaagiza mzgo wa laki 2.
1. Ogopa sana bidhaa ambazo wanaandika Free Shipping... sio kwamba ni utapeli lakini zinachelewa sana kufika, unless you're lucky!

2. Usiwe na wasiwasi kuhusu experience... muhimu kwako ni kuangalia kama muuzaji ana stars (reputation) ya kutosha! Ukiona Seller kuna "sold" za kutosha na reviews ni mzuri basi uhakika wa kupata mzigo wako ni mkubwa, na hata ukipotea ni bahati mbaya tu!

Isitoshe, hata ukipotea kabla hujakufikia, wanaweza kukufanyia replacement kwa sababu ni waoga sana kuwa poorly reviewed!
Ilinitokea safari moja, hadi nafsi ikanisuta kwanini niliwapiga review mbaya kiasi kile!!
 
Shukran Sana mkuu..

Mimi mzgo ninaotaka kuagiza kwa Sasa ni wa sh 24,000 tu bila shipping cost nataka niagize kwanza huo zen nkipata experience ndo ntaagiza mzgo wa laki 2.
Free shipping zinachelewaga sana sababu wanasubria mizigo iji accumulate ndo watume. Alaf free shipping zinapitiaga bandari ya kenya ambayo ni wezi kinoma.

Kwa mzigo wa bei rahisi kma huo sio mbaya. Lakini kma ni kitu cha labda laki 2 huko ni bora uchague ambacho kinuzwa kwa bei hyo hyo lakini na shipping imejumlishwa. Maana ukifika posta kodi watapigia bei uliyonunua tu bila shipping
 
1. Kma huna huduma za kibenki Airtel na Voda wana toa mastercard kwa wateja wa Mpesa na Airtel money. Ingia kwenyew menu ya AirtelMoney/Mpesa then changua option ya mastercard. Utatengeneza card.

Lakini kwasabab kadi hzo hazipokei hela inakua ishu kma ukidai refund ikiwa mzigo haujafika au ni mbovu.
Hvyo basi jiunge PayPal na una link card hyo uliyopewa na Airtel au Voda.

Kupitia PayPal kma ukiwa refunded hela yako itaingia PayPal na unaweza kuitoa kiurahisi kwa kuituma bank au money transfer zilizokua supported.

Mm natumia Airtel Money mastercard na PayPal kuagiza vitu

2. Ukiagiza mzigo inategemea waliotumia wametumia service gani.

Dhl na ups huwa inaingia Airport na wanaweza kukwambia ukachukilie kule. Airport ni jau mzee wanapiga hela kubwa sana kule, so epuka DHL unless kma uko tayari kutoa hela kubwa

Wengine wanatumia Posta. Inategemea sasa kma eBay na Aliexpress mara nyingi makampuni yanayohusiana na shipping huwa wanatuma Posta ya pale Posta Mpya unaenda kuchukua sehem ya Parcel (mm mwenyew ndo mara yangu ya kwanza kuchukulia kule)

Na kuna mizigo mingine inayoenda Posta office ya Kariakoo. Hii inakua mara nyingi ile iliyotumwa na Aliexpress standard shipping inakuwa in bulk. Posta office ya kkoo ndo nimeenda sana na kwa experience yangu kule ndo huwa silipishwi kodi na vinavyoenda kule ni vitu vidogo vidogo vya bei chee kma earphone, visandal, vihereni nk.


Nnachokushauri ni kwa ssahvi inaonekana wadau wamekomalia kodi. So ukiagiza kitu upigie kodi appromation ya 18% VAT kwa vitu vya electronics for personal use. Au kabla hujaagiza kaulizie kwanza posta kuwa kma hicho kitu kikingia kodi itakuwa bei gani. Watakuhesabia watakuambia ili ujue mapema kabla mzigo hujaingia alaf ukashindwa kuukomboa sabab kodi ni kubwa
Mbona babu napokea refund kibao tu za airtel na voda MasterCard
 
Mbona babu napokea refund kibao tu za airtel na voda MasterCard
Labda wamerekebisha now lakin mm nakumbuka nilijiunga ilivyotoka kipindr kile nikawa refunded 25,000 na haikuingia hadi leo. Niliwapiga wakaniambia hyo kadi haiweizi kupokea hela. Mpesa nadhan ndio wana support
 
1. Kma huna huduma za kibenki Airtel na Voda wana toa mastercard kwa wateja wa Mpesa na Airtel money. Ingia kwenyew menu ya AirtelMoney/Mpesa then changua option ya mastercard. Utatengeneza card.

Lakini kwasabab kadi hzo hazipokei hela inakua ishu kma ukidai refund ikiwa mzigo haujafika au ni mbovu.
Hvyo basi jiunge PayPal na una link card hyo uliyopewa na Airtel au Voda.

Kupitia PayPal kma ukiwa refunded hela yako itaingia PayPal na unaweza kuitoa kiurahisi kwa kuituma bank au money transfer zilizokua supported.

Mm natumia Airtel Money mastercard na PayPal kuagiza vitu

2. Ukiagiza mzigo inategemea waliotumia wametumia service gani.

Dhl na ups huwa inaingia Airport na wanaweza kukwambia ukachukilie kule. Airport ni jau mzee wanapiga hela kubwa sana kule, so epuka DHL unless kma uko tayari kutoa hela kubwa

Wengine wanatumia Posta. Inategemea sasa kma eBay na Aliexpress mara nyingi makampuni yanayohusiana na shipping huwa wanatuma Posta ya pale Posta Mpya unaenda kuchukua sehem ya Parcel (mm mwenyew ndo mara yangu ya kwanza kuchukulia kule)

Na kuna mizigo mingine inayoenda Posta office ya Kariakoo. Hii inakua mara nyingi ile iliyotumwa na Aliexpress standard shipping inakuwa in bulk. Posta office ya kkoo ndo nimeenda sana na kwa experience yangu kule ndo huwa silipishwi kodi na vinavyoenda kule ni vitu vidogo vidogo vya bei chee kma earphone, visandal, vihereni nk.


Nnachokushauri ni kwa ssahvi inaonekana wadau wamekomalia kodi. So ukiagiza kitu upigie kodi appromation ya 18% VAT kwa vitu vya electronics for personal use. Au kabla hujaagiza kaulizie kwanza posta kuwa kma hicho kitu kikingia kodi itakuwa bei gani. Watakuhesabia watakuambia ili ujue mapema kabla mzigo hujaingia alaf ukashindwa kuukomboa sabab kodi ni kubwa
Asante sana mkuu kwa maeelezo yako, mimi kwa upande wangu nmefanya transaction mbili kwa kutumia Master card visual ya Airtel nikinunua vitu Alibaba ingawa kutokana na Corona sikufanikiwa kupata mizigo yangu kwa maana ilipotelea njiani lakini mara zote pesa zangu zilikuwa refunded na kuingia moja kwa moja kwenye account yangu ya airtel money ya simu yangu.

Hivyo basi refund inawezekana kupitia mitandao ya simu kwa account iliyotumika kufanya transaction.
 
Sijakuelewa swali lako nawapigaje seller, ilihali refund ninaipata baada ya kufungua idispute kudai pesa aitha seller kachelewesha mzigo, haujafika na hata kurudisha product moja ilikuja low standard babu
Vipi mzigo ukifika huku washakurefund huwa unafanyaje au kufaana.
 
Vipi mzigo ukifika huku washakurefund huwa unafanyaje au kufaana.
Seller atakuambia kua uingie kwa apps tena na uagize item ile ile ili pesa ikatwe na yeye hataship mzigo bali ataweka item number kwa alia na utaconfirm kua umedeliver. Sijawahi dhulumu seller. Kuna uzi wetu tunapeana sana elimu ya online purchase kiongozi kule telegram unaweza 'search tu, Xiaomi users Tz
 
Umeona hii kiongozi
Screenshot_2020-07-10-09-11-48-983_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
Seller atakuambia kua uingie kwa apps tena na uagize item ile ile ili pesa ikatwe na yeye hataship mzigo bali ataweka item number kwa alia na utaconfirm kua umedeliver. Sijawahi dhulumu seller. Kuna uzi wetu tunapeana sana elimu ya online purchase kiongozi kule telegram unaweza 'search tu, Xiaomi users Tz
Safi sana dhuluma ni mbaya. Kuna mzigo niliwahi kuagiza mwaka jana seller akaExtend purchase protection weee mpaka nikachoka ikabidi nifungue madai ya hela yangu AExp wakairudisha lakini mzigo ukafika baada ua miezi 6 na na nilipomwambia seller anipe procedure za kumlipa hela yake akasema hiyo iwe gift kwangu ila niwape 5stars na tayari nilikuwa nimeshawapiga bad review niliumia kwa kweli maana hakukuwa na namna ya kubadilisha review.
IMG_20200710_114719.jpg
 
Safi sana dhuluma ni mbaya. Kuna mzigo niliwahi kuagiza mwaka jana seller akaExtend purchase protection weee mpaka nikachoka ikabidi nifungue madai ya hela yangu AExp wakairudisha lakini mzigo ukafika baada ua miezi 6 na na nilipomwambia seller anipe procedure za kumlipa hela yake akasema hiyo iwe gift kwangu ila niwape 5stars na tayari nilikuwa nimeshawapiga bad review niliumia kwa kweli maana hakukuwa na namna ya kubadilisha review.View attachment 1502677
Mkuu mie nahitaji darasa kidogo kwa ebay kwani ndio sehem ambayo napata ukakasi kununua huko.
 
Back
Top Bottom