Msaada wa jina helsb

ha ha ha.,,
dah..kweli nikiingia JF siwezi kutoka bila kucheka.
kwanini usimtafute kwenye web ya HESLB?
Au huna net?ha ha ha
 
Ok....nimegoogle kumbe ni Bodies ya mikopo kwa ajili ya Elimu ya juu.....Mnatupotezea muda banaa....sisi mambo yetu yalikuwa ya Warrants kila kitu....
 
Wandugu tupendane tuwe na huruma ,majibu mazuri tupeane,kwani hakuna mkamilifu wala mwenye akili zote zaidi ya mungu.hamuoni viongozi wetu wasomi tunaowategemea wakati mwingine wanakosea tena mjengoni!?
 
Jamani ukingia kwenye heslb,kuna vibox vitatu,cha kwanda ni candidate type,je hy no ya form four inaweka vibox vyote au
 
Back
Top Bottom