nchelegwanzingi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 468
- 277
- Thread starter
- #21
umekodishwa nini?
Nakwenda kikazi mkuu wangu,
umekodishwa nini?
mimi pia nakuja huko next week natokea mombasa,nataka nije kutupa karata yangu huko .tumeorganize na crew yangu tunakodi basi,project yetu ya miez mitatu
Dah mkuu unaweza kutueleza kazi inayowaleta rombo?
Loh! aliesema pombe ni haramu hakukosea, sasa inakuwa aibu mtu kuaga jamaa na marafiki unakwenda rombo, au ukisafiri unaogopa kusema nimetoka rombo? Warombo waamke bana maana mabasi yataanza kusafiri usiku na abiria watavaa ninja.
kikubwa ni kuimarisha upendo
Nashkuru sana kiongozi wangu
Mzee wa kisukuma, msaada wako huko utahitajika sana.
Tuko pamoja mkuu.
Itapendeza ukitujuza nduguzo maendeleo ya kazi yako huko Rombo...
Bila shaka mrejesho utarudi hapa jukwaani