Kwingine sijui.Ni Mnazi mmoja peke yake mkuu?
Thread Closed!Kama upo Dar nenda hospital ya Mnazimmoja.
Habarini,
Nahitaji msaada wa kufahamishwa Hospitali wanazotoa kadi ya Homa ya manjano kwa Dar.
Ahsante
Pia posta mpya kwenye bandari ya boti za Zenji. Nadhani wanafanya mara mbili/tatu kwa wiki.Ni Mnazi mmoja peke yake mkuu?