Msaada wa harufu ya kinyesi gheto

Msaada wa harufu ya kinyesi gheto

Changed ID

Member
Joined
Aug 5, 2018
Posts
79
Reaction score
69
Habari za wakati huu wandugu,

Naomba mnisaidie kitu kimoja,
Kuna ghetto nimechukua la kupanga sasa kuna harufu fulani kama ya kinyesi kikavu kwa mbaali hii inanisumbua kujua shida ni nini.

Mwanzoni wakati naoneshwa hapakuwa na halafu kama hii lakini badae ikaibuka.

Nilifikiri ni choo labda lakini choo nilisafisha na dawa lakini sijaona mabadiliko yoyote.

Hii ni kwa Mara ya pili naexperience hii kitu mwanzoni niliwahi kuisikia mahali fulani hivi nikajua shida ni choo,Sasa leo yamenikuta Mimi.

Please over please mwenye kujua shida nini anisaidie. Imefika kipindi nikahisi au ni rangi iliyopigwa ndani kabla ya Mimi kuingia.
 
Hio itakua rangi tu
Angalia choo kama kina seal ya maji. Yaani ukimwaga maji chooni inatakiwa mwisho yabaki maji yajae kusiwe na mwanya wa kurdisha hewa ndani. Pia kama hicho choo kina kina kirefu mpaka kwenye seal kinyesi kinaweza kubakia kwenye hicho kibomba kabla ya maji ya seal. CHUNGUZA UTAPATA JIBU VINGINEVYO INATOKA NJE KWENYE CHEMBA
 
Habari za wakati huu wandugu,

Naomba mnisaidie kitu kimoja,
Kuna ghetto nimechukua la kupanga sasa kuna harufu fulani kama ya kinyesi kikavu kwa mbaali hii inanisumbua kujua shida ni nini.

Mwanzoni wakati naoneshwa hapakuwa na halafu kama hii lakini badae ikaibuka.

Nilifikiri ni choo labda lakini choo nilisafisha na dawa lakini sijaona mabadiliko yoyote.

Hii ni kwa Mara ya pili naexperience hii kitu mwanzoni niliwahi kuisikia mahali fulani hivi nikajua shida ni choo,Sasa leo yamenikuta Mimi.

Please over please mwenye kujua shida nini anisaidie. Imefika kipindi nikahisi au ni rangi iliyopigwa ndani kabla ya Mimi kuingia.


Huenda unaishi na majini ila hujijuwi tu....ukiingia ndani wanakuja kunya ulikokaa na kukucheka. Majini wa Dar na Zanzibar wana visa sana na wapangaji.
 
Habari za wakati huu wandugu,

Naomba mnisaidie kitu kimoja,
Kuna ghetto nimechukua la kupanga sasa kuna harufu fulani kama ya kinyesi kikavu kwa mbaali hii inanisumbua kujua shida ni nini.

Mwanzoni wakati naoneshwa hapakuwa na halafu kama hii lakini badae ikaibuka.

Nilifikiri ni choo labda lakini choo nilisafisha na dawa lakini sijaona mabadiliko yoyote.

Hii ni kwa Mara ya pili naexperience hii kitu mwanzoni niliwahi kuisikia mahali fulani hivi nikajua shida ni choo,Sasa leo yamenikuta Mimi.

Please over please mwenye kujua shida nini anisaidie. Imefika kipindi nikahisi au ni rangi iliyopigwa ndani kabla ya Mimi kuingia.
Jaribu Google search, utapata jibu sahihi.
 
Pole. Chukua kifaa hiki changanya manukato then weka ndan. Kinatumika kama air fresher ni kizur. Njoo PM chap
20191010_185427.jpeg
 
Ndio unafukuzwa na mwenye nyumba hapo,ili uache kodi yako.

Mjini shule.
 
Haupo karibu na karo la choo?
Au nje ya chumba chako kuna bomba LA maji taka yale yanatoa uchafu ndani kupeleka kwenye karo limepasuka.
Pia lile bomba linalowekwaga nyuma ya choo kuelekea juu kama upo nalo karibu yaweza pia kuwa ni sababu.
.
Ukishinda nyumbani fungua milango na madirisha hewa iwe inaingia na kutoka.
 
Angalia choo kama kina seal ya maji. Yaani ukimwaga maji chooni inatakiwa mwisho yabaki maji yajae kusiwe na mwanya wa kurdisha hewa ndani. Pia kama hicho choo kina kina kirefu mpaka kwenye seal kinyesi kinaweza kubakia kwenye hicho kibomba kabla ya maji ya seal. CHUNGUZA UTAPATA JIBU VINGINEVYO INATOKA NJE KWENYE CHEMBA
Nilishakutwa na tatizo hilo,.Maji yanaweza kuwepo, tatizo ni, yanakua hayajafikia level inayotakiwa.

Harufu itakua palepale.
 
Hiyo ishu niliwahi iexperience kwenye fremu ya bro. Palikua pana kieneo kimefanywa kama cha kutunza makorokoro, basi harufu yake ilikua ya gogo kabisa.

Sasa kipindi harufu inaanza kila mmoja anamhisi mwenzie ila kusema hawezi, ilipofika balaa limekua kali nikamuuliza dogo mmoja hoya hujakanyaga gogo wakati unakuja dogo akakataa kugikia pale ile mada ikawa wazi kuchangiwa.

Tulivyopangua yale makorokoro tukakuta kuna panya buku ana mjengo wake na familia kabisa. Basi tukamtimua ikawa ndiyo salama yetu. Mimi naona panga vitu kiasi kwamba mwanga na hewa inaweza penya kila sehemu.
 
Back
Top Bottom