niwaellyester1
Senior Member
- Sep 7, 2010
- 123
- 19
kuna kamera nimepewa , ni digital , aina ni EXILIM , ila charger alipoteza na mie kesho nasafiri so naomba kuambiwa nitapata duka gani linalouza charger, sasa hivi plz, niko dar , kama haitajibiwa leo naomba kuambiwa maduka ya mwanza ambako ndio naenda kesho