Msaada wa haraka

hekima kaka ichukue mkondo wake maana nakuheshimu sana,kama huna mchango unapita tu

Amekushauri ufikirie nje ya box! Kuwa mtoto wa kwanza sio tatizo la yeye kutokua tayari kuingia kwenye ndoa. Lipo tatizo ambalo hujaambiwa kaka!! Ninyi ni watu wazima, yeye anajidai yupo primary school. Kama angekua hataki ujauzito angekushauri utumie kinga mkuu!

Ni mtazamo tu!
 
Ashukuru Mungu umeweza kumpa ujauzito. Kuna watu wapo kwenye ndoa miaka nenda rudi, hawajafanikiwa!!!!
 
Aisee suala lako linaibua vitu vingi sana labda pia hataki kuzaa kwa sasa mambo yakulea na nini lakini pia huenda ukawa si chaguo lake kwa maana yakuishi milele kama mme na mke na ndomana hataki mtoto na wewe atakaezuia nafasi za wengine au vile vile huenda kaujauzito kashombeshombe hako siunajua nywele zao haziongopi!lamwisho ambalo ndo lamsingi kabisa we anza kumtangazia kila mtu kua yeye ni mjamzito ashindwe pakuitolea coz tayari mwanao anatunga damu hua inauma mpige pini tu
 
msimamo wake wa sasa kama sitaki kushiriki kuitoa ni bora tuachane tu

Mh jiulize swali moja je mkikubaliana kuitoa mkaendelea na mapenzi yenu mkija kuoana mkakosa mtoto mtarudi kupiga goti kwa Mungu kuomba awapatie mtoto? Kwenye kutoa mimba kuna risk nyingi kuliko kuzaa, usikubali
 
..there are two things involved...
Either,hiyo itakua sio mimba yako!
Or, hutakuja kumuoa huyo mwanamke!

Naweka milioni 10 wewe unaweka jiwe thats how sure I am, if you wanted to know!
 
Kweli duniani tumetofautiana ...pole sana kaka jaribu kuangalia the innerpart of her reasons labda kuna kitu ambacho kimejificha
 
Miye nakusikitikia tuu!! Huyo mwanamke ni mburula!! Mwambie akitoa ujauzt huo wewe na yeye baasi!! Afu msikilizie!!
 
Kuwa imara sana kijana. Nenda mkapime upate ile karatasi ya majibu ya hosp iwe ushahidi...ukipata Mwambie akitoa atamfunga kwa kukuulia mwanao. Ukilegea ataua Kweli huyo...akizaliwa chukua mwanao Piga chini...mwanamke ana roho mbaya huyo.
 
ni kwenda kwao kujitambulisha,ila sasa hataki kwenda huku akiwa mjamzito

Mkuu mbona mimba ni ndogo tu ya miezi 2, nani atajua ana mimba?? Msituzeveze bana!
Fanya maamuzi magumu kwa kumwambia mzazi wake wa kike mama.
Kazini kwake kwani hawaruhusiwi kuolewa na kuzaa?? Kwanini aogope kazini?
 
najaribu kumwambia anasema atafanya mbinu zozote atatoa,akipata matatizo mi si ntawajibika na ntaonekana vipi kwa wazazi wake?

Ni mtoto wa Rais au Mkuu wa usalama wa Taifa nini? Mbona hata wewe majibu yako yanaonyesha Una woga sana?? Manake hao bana hukawii kuswekwa lupango au kutolewa kucha Mkuu!
Pengine anawaza bado huna hadhi ya familia yao kwa sasa kwenda kujitambulisha, nadhani umenielewa Mkuu!
 
labda huna ela..

Hata mimi nimefikiri kwa namna hii.
Uchumi wa jamaa ni mdogo ukilinganisha na familia ya binti anapotokea.
Pengine wazazi wake ni high class, na expectations zao ni binti kuolewa na kijana wa status hiyo au aliyetoka kwenye family kama hiyo au inayokaribiana na hiyo.
Wazazi wa kiume (baba) walio matajiri mara nyingi huwa too selective. Wanaotaka kuposa binti zao lazima wafanane nao au wawe na muelekeo huo.
Hii pia inaweza kusababisha binti akawa muoga sana kwavile anajua nyumbani kuna set standards.
 
Kulia kwake sio suluhu ya hilo tatizo lenu!mshauri kwanza atulie!Kupata mimba kabla ya ndoa sio KOSA LA KUKUFANYA UFUNGWE MAISHA!! By the way kama alilijua hilo basi angejikinga mapema kuepuka such problems. Mimi nakushauri mwambie aache kulia, kaeni mjipange kwa moja kati ya haya mawili;

  • Kama ujauzito ni mchanga, fanya haraka ukajitambulishe kwao naye mtambulishe kwenu halafu michakato ya harusi ianze fasta ili walau mfunge ndoa ujauito ukiwa na miezi3 hata 4 sio mbaya
  • Kama hiyo hapo juu haiwezekani basi kajitambulishe kwao (na wajue kabisaa kuwa mlikuwa mnaishi pamoja) na muwaeleza juu ya ujauzito huo then muendelee kuishi hadi atakapojifungua then soon after kujifungua mfunge ndo
ILA kama ataendelea kukataa kila option unayompa basi hapo mwanaume TAFAKARI NA UCHUKUE HATUA ila always SAY NO TO ABORTION
 
kama yupo tayar mfunge ndoa c mbaya fanyen hvyo kwakuwa mimba ni ndogo na haiwez kuonekana but kama bado hataki bas ujue kaka hapend uwe mumewe.chakachua akili kiutu uzma kwan nahc anakitu moyon,huo ndo ukweli.
 
kaka fuatilia vizuri ni sababu gani inayomfanya asikubali kulea mimba na kuolewa na wew.

1. inawezekama mimba si yako, anakupenda wew na hataki kuzaa kiumbe ambacho si chako.
2. inawezekana hakupendi, yaani hajaridhika kuolewa na wew. kajiegesha kwako tu and she is still looking around, akishatoa hiyo mimba ataondoka na kwako.

mpe msimamo wako, kuwa hutaki kutolewa hiyo mimba na upo tayari kumuoa haraka iwezekanavyo, otherwise, sababu zake hazima mashiko kabisa.
 
Hakutaki. Kuishi pamoja aikuwa anakutumia tuu ila hana future na wewe.
 
thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki

Haaa makubwa haya jamani.
Yote hataki ss anataka nn
Yaani mmeshaharibu halafu anazingua...?!
 

Una akili sana ww! Na huu ndo ukweli
 

Pole jamani.
Kweli kuna wanawake pasua kichwa no wonder ndo maana vijana hawatusomi kabisa., hatueleweki.
Yaani nimewaza cjapata jibu
 
umempenda sana zaid ya akupendavyo yeye,usiforce ndoa kaka kwa mtu asiye tayari.kuna hiv upande wake(kwa huyo dem)
1.hiyo mimba yawezekana c yako.
2.yawezekana ikawa mimba yako but hataki ndoa na wewe.
3.hajakupenda kwa dhat.
USHAURI:usilazimishe mtu akupende au ucpende pasipo pendeka utakuja kuumia mwenyewe.ukweli kaka huyo demu anaogopa kwakuwa umekufa na kuoza kwake.
ANGALIZO:akijakuambia ukweli kuwa hakupend na hayupo tayar kuwa mkeo tafadhar uje fasta tunakusubir hapa jamvin tukukumbush
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…