ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Mimi na mpenzi wote ni wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na itakuwa aibu kuwa na mtoto kabla ya ndoa,analia kila muda na amani haipo kabisa,nashindwa nifanyeje na mimi sina tatizo kuhusu huo ujauzito,hapa nilipo nimetingwa,maana anasema ni bora anywe sumu tu afe,msaada ushauri wenu kwa hili tatizo