Msaada wa haraka

Msaada wa haraka

ngosha2011

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
681
Reaction score
87
Mimi na mpenzi wote ni wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na itakuwa aibu kuwa na mtoto kabla ya ndoa,analia kila muda na amani haipo kabisa,nashindwa nifanyeje na mimi sina tatizo kuhusu huo ujauzito,hapa nilipo nimetingwa,maana anasema ni bora anywe sumu tu afe,msaada ushauri wenu kwa hili tatizo
 
Mimi na mpenzi wote ni wafanyakazi kabla hatujaenda kwa wazazi kujitambulisha,imetokea mpenzi wangu kapata ujauzito,na anasema hayupo tayari kuzaa kwa sasa,sababu kubwa kwao ni mtoto wa kwanza na itakuwa aibu kuwa na mtoto kabla ya ndoa,analia kila muda na amani haipo kabisa,nashindwa nifanyeje na mimi sina tatizo kuhusu huo ujauzito,hapa nilipo nimetingwa,maana anasema ni bora anywe sumu tu afe,msaada ushauri wenu kwa hili tatizo

Uja uzito una mda gani? Kama ni mdogo ni bora mkapeleka mambo haraka sana,yani mkafanya taratibu za ndoa hata ya ki-serikali alafu mengine yakafuata.,Mnaweza msieleweke kwa watu lakini itakuwa bora kuliko hali ilivyo kwasasa!
 
Uja uzito una mda gani? Kama ni mdogo ni bora mkapeleka mambo haraka sana,yani mkafanya taratibu za ndoa hata ya ki-serikali alafu mengine yakafuata.,Mnaweza msieleweke kwa watu lakini itakuwa bora kuliko hali ilivyo kwasasa!

thanx mkuu ujauzito ni wa miezi miwili,tatizo anasema bado mapema kwenda kwao,nilimshauri kwa nini tusiende hata kwa wazazi?ili mambo mengine yafuate?yote hataki
 
Kwani ndio amejua itakuwa vibaya kupata mimba kama mtoto wa kwanza kwenye familia baada ya kuwa na hiyo mimba au hata kabla alikuwa analitambua hilo? Kama alikuwa anatambua na akakushirikisha kwa kukwambia wewe ulimpa mrejesho gan?

Swala hapa kwa sasa sio wewe kutokuwa na tatizo na huo ujauzito, la msingi kwa sasa je uko tayar kufuata taratibu (ndoa) ili kunusuru uhai wa hao viumbe wawili?

Tahadhari: utoaji wa mimba usije kuwa ndio njia mkato ya kumaliza huo utata wenu manake wakati mnafanya kwichi kwichi mnlikuwa timamu na mlikuwa mnajua matokeo yake! Sasa ndo maji hayo ushayavulia nguo sharti uyaogee.
 
Hata mkifunga ndoa mtazaa, sasa kama aliyafahamu hayo kwanini hakutumia kinga? Au imani yake inaruhusu dhambi ya kutoa mimba?
 
Kwani ndio amejua itakuwa vibaya kupata mimba kama mtoto wa kwanza kwenye familia baada ya kuwa na hiyo mimba au hata kabla alikuwa analitambua hilo? Kama alikuwa anatambua na akakushirikisha kwa kukwambia wewe ulimpa mrejesho gan?

Swala hapa kwa sasa sio wewe kutokuwa na tatizo na huo ujauzito, la msingi kwa sasa je uko tayar kufuata taratibu (ndoa) ili kunusuru uhai wa hao viumbe wawili?

Tahadhari: utoaji wa mimba usije kuwa ndio njia mkato ya kumaliza huo utata wenu manake wakati mnafanya kwichi kwichi mnlikuwa timamu na mlikuwa mnajua matokeo yake! Sasa ndo maji hayo ushayavulia nguo sharti uyaogee.

mimi nipo tayari kufuata taratibu zote za ndoa,mara anasema nimeanza kazi juzi ntaonekana vipi kazini,nimetingwa hata sijui cha kufanya
 
Hata mkifunga ndoa mtazaa, sasa kama aliyafahamu hayo kwanini hakutumia kinga? Au imani yake inaruhusu dhambi ya kutoa mimba?

hairuhusu ila analazimisha,mara tena anasema anaogopa hicho kitendo,tatizo anashinda analia tu
 
hataki na mimi nipo tayari na ujue tunaishi pamoja mpaka sasa
kwanini hataki...?..ukizingatia kwa hali hiyo uwezi kataa mhusika akajitambulishe kwenu.....

kama unaweza washirikishe wazazi wako wakupe mwangaza zaidi.....ila msisitizie huyo dada kuwa hauko tayari kutoa mimba......ata ikiwezekana mdanganye kuwa kimila kwenu mtu akitoa mimba lazima afe......au hatokaa apate mtoto maisha yake yote......au atakuwa kichaa ambacho hakitakuwa na tiba.....
 
hairuhusu ila analazimisha,mara tena anasema anaogopa hicho kitendo,tatizo anashinda analia tu
jitahidi uwezavyo......hiyo dhambi ya kutoa mimba uiepuke......baki na msimamo wako wa kwenda kwao ukajitambulishe....usitetereke.......mtoto raha sana......tafadhali msiukatishe uhai wa huyo mtoto......binafsi sababu zote anazosema huyo dada siyo za msingi.....
 
hataki na mimi nipo tayari na ujue tunaishi pamoja mpaka sasa

he makubwa poleee ngosha wa watu kwa yanayokukuta ndoa hataki,mimba bila ndoa anadai unamtia aibu kwao at the same time mnaishi kinyumba.Jamaniii wonders shall never end watu8 njoo uone makubwa mengine sasa huyo mama kijacho umemuuliza anataka nini ndo kakujibu anataka kujiua?
 
Last edited by a moderator:
kwanini hataki...?..ukizingatia kwa hali hiyo uwezi kataa mhusika akajitambulishe kwenu.....

kama unaweza washirikishe wazazi wako wakupe mwangaza zaidi.....ila msisitizie huyo dada kuwa hauko tayari kutoa mimba......ata ikiwezekana mdanganye kuwa kimila kwenu mtu akitoa mimba lazima afe......au hatokaa apate mtoto maisha yake yote......au atakuwa kichaa ambacho hakitakuwa na tiba.....

thanx kwa ushauri,nimemwambia kasema bora anywe sumu afe kuliko kupeleka aibu nyumbani,kwa kuwa ye ni mtoto wa kwanza na sababu zingine,ni bora mimi ningekuwa nimekataa
 
hairuhusu ila analazimisha,mara tena anasema anaogopa hicho kitendo,tatizo anashinda analia tu

aisee kumbe anataka kutoa mimba? Ngosha hapo soma alama za nyakati
 
jitahidi uwezavyo......hiyo dhambi ya kutoa mimba uiepuke......baki na msimamo wako wa kwenda kwao ukajitambulishe....usitetereke.......mtoto raha sana......tafadhali msiukatishe uhai wa huyo mtoto......binafsi sababu zote anazosema huyo dada siyo za msingi.....

na kwa kuongezea hapo mwaka huu wengi wamefariki kwa kutoa mimba wengi sana naowajua au wengine wanatibua magonjwa especially VVU vilivyolala
 
he makubwa poleee ngosha wa watu kwa yanayokukuta ndoa hataki,mimba bila ndoa anadai unamtia aibu kwao at the same time mnaishi kinyumba.Jamaniii wonders shall never end watu8 njoo uone makubwa mengine sasa huyo mama kijacho umemuuliza anataka nini ndo kakujibu anataka kujiua?

kasema anataka kuitoa,nisipomsaidia katika hilo zoezi atajiua,na hawezi kwenda peke yake mpaka na mimi niwe nae wakati zoezi linaendelea,nimetingwa hapa nilipo vyote hataki
 
Last edited by a moderator:
ngosha unauhakika mimba yako??jamaniii kila nikiclick naona huyo dada hana hoja zaidi ya madudu tu.Boss inaweza ikawa si yako anaona dawa ni kuitoa mimba tu sababu kama ndoa upo tayari,kulea mtoto mpo tayari na kikubwa mnaishi pamoja aibu ya kuishi na mwanaume bila ndoa haioni ila anaiona ya mtoto mweeee
 
na kwa kuongezea hapo mwaka huu wengi wamefariki kwa kutoa mimba wengi sana naowajua au wengine wanatibua magonjwa especially VVU vilivyolala

nimetingwa hata kazi haziendi,kweli nampenda sana na nimemwambia twende kwa wazazi hata leo japo kwao ni mbali hataki,mara sikufikilia kuolewa mwaka huu,kumuacha siwezi hasa ukizingatia nampenda na bado ana kiumbe changu,kitu anachotaka kufanya bado ni hatari sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom