Msaada wa haraka wadau wa hili jukwaa

Msaada wa haraka wadau wa hili jukwaa

mkamanga original

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
636
Reaction score
665
Nimepata tatizo la simu yangu , mara ya mwanzo nilikuwa natumia facebook lite kama wiki imepita nikaamua kuistall facebook nabkuachana na fb lite. Baada ya siku tatu nikaamua kuinstall zote yaani fb lite na fb .nimetumia hizo kwa takribani siku kama nne hivi, baadae nikaona zote zimepotea , hazionrkani tena. Kila nikiinstal zinaenda ikifika mwisho zinagoma , na hii imetokea kwa zote lite na fb.lakini nikiinstall program nyingine zinakubali .
Msaada wadau nimehangaika wiki nzima sina access ya kuingia fb.Leo nimekumbuka kuja hili jukwaa kuomba msaada, nikajua kwenye jukwaa hakuna kinachoshindikana.

Naombeni msaada jinsi ya kuinstal tena hiyo fb
 
Msaada wa haraka!!

Anyway wajuzi wa mambo wanakuja
 
Mkuu inawezekana hizo app just umezificha tu na launcher icon hazionekani ila zimo humo humo ndani ya simu.

Fanya hivi nenda setting kisha apps ingia kwenye list ya app zote uangalie je ipo fb na fb lite? Solution ya haraka haraka ni kuzitoa kama zipo kupitia hio apps na kisha kuziweka tena.
 
Ng
Mkuu inawezekana hizo app just umezificha tu na launcher icon hazionekani ila zimo humo humo ndani ya simu.

Fanya hivi nenda setting kisha apps ingia kwenye list ya app zote uangalie je ipo fb na fb lite? Solution ya haraka haraka ni kuzitoa kama zipo kupitia hio apps na kisha kuziweka tena.
Ngoja nijaribu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom