Msaada wa haraka unahitajika!

Oracles

Member
Jul 4, 2010
12
0
Wadau JF!

Naomba sehemu ya sheria za nchi+TRA zinawahusu(zinazofafanua utaratibu mzima) wale(hasa wanafunzi) wanaopaswa kupatiwa msamaha wa kodi, pindi wanapoingiza vitu vyao nchini.

Natanguliza shukrani.

Octoba, 31 tujitokeze kwa wingi pia, kufanya kweli.
 
Back
Top Bottom