Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Hi! Kwa wana JF wote,
Samahani ninaomba msaada kuna dogo wangu hapa amesoma HGK ana two ya 11 yaani History-D, Geography-D na Kiswahili-C nilikuwa naomba mnishauri ajaze course gani.
Natanguliza shukurani zangu🙏🙏🙏🙏🙏
Samahani ninaomba msaada kuna dogo wangu hapa amesoma HGK ana two ya 11 yaani History-D, Geography-D na Kiswahili-C nilikuwa naomba mnishauri ajaze course gani.
Natanguliza shukurani zangu🙏🙏🙏🙏🙏