Msaada wa haraka unahitajika!

Msaada wa haraka unahitajika!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Waungwana ni mbinu gani nitumie ili na Mimi niwe gentleman kwa wanawake na bado nikiendelea na ubahili wangu kama kawaida?
 
Tafuta mabeki tatu,hawahitaji pesa kabisa na bado watakuona gentleman
 
Aliuliza muuza simu used mmoja akiongea na sim...
 
U-gentleman huenda Sanjari na pesa. Ukiwa na pesa na unzitumia kwa kuamini kuwa maisha ni mafupi na hutazikwa nazo, Basi, kaa ukijua u-gentleman ni attitude when you have something in your pocket. Thanks.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom