ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,970
- 2,184
Wakuu
Najaribu kulog in nacte lakini naambiwa username na password hazimatch
Nimejaribu kureset password nimeelekezwa niwape mpesa payment code iliyotumika kufanya application, hii ilishapotezwa kwani sms ile ilifutwa
Nafanyaje kwa hili ili niweze kuangalia kama nimechaguliwa
Najaribu kulog in nacte lakini naambiwa username na password hazimatch
Nimejaribu kureset password nimeelekezwa niwape mpesa payment code iliyotumika kufanya application, hii ilishapotezwa kwani sms ile ilifutwa
Nafanyaje kwa hili ili niweze kuangalia kama nimechaguliwa