Nina Tecno Y2 ni balaa,ilianza kuzingua siku ya tatu tangu nilipoinunua.
Ghafra inazimika yenyewe kuiwasha tena mpaka utoe betri kwanza,na ikijizima utakuta chaji imepungua kishenzi.
Baada yakufuatilia sana nimegundua ni tatizo la kiwandani kwa toleo la Y2,kwani mmiliki yeyote wa simu hii anakumbana na kadhia hiyo.
Kwa ufupi simu za Tecno ni pasua kichwa.