unaaply nin na kupitia wap ..nacte au tcu....kama nacte nenda kwa website yao ya nacte analia kipengele cha central admstrtion system wameelexaNimeulizwa hapa nimekosa jibu.
Wakati wa kulipia NACTE naona namba moja ni NACTE namba tano ni NACTE CAS,,Analipia ipi maana mdogo wangu ana mchecheto hapa.